Padri

jrmlaurence

Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
80
Reaction score
57
Padre Muumini: Padri nataka kumwacha mke wangu hajui kufanya mapenzi kabisa! Padri: Si bora mkeo ni nafuu, mke wa mpiga kinanda ndio hajui kitu. Muumini: Heeh! Padri: Mke wa yule mwenyekit wa jumuiya pamoja na **** lake ndio bure kabisaa! anazidiwa hata na Sister leAh! Muumini: Atii? Padri: Actually, kwa hapa parokiani wenye nafuu ni mkeo na mke wa yule mwalimu wa Sunday School, na kwa mbali kale kabinti ka usafi wa sakrastia. Naona hawa ndio wanajitahidi.
================
 
Makanisa ya Freemason siku hizi ni mengi.....
 
nimecheka mkuu hata kama ilishatoka, mi sikuiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…