Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 908
Muunini alienda kuungama kwa Padri, maungano yalikuwa hivi, Muumini: nakuungamia mungu wangu nawe Padri wangu kwa kuwa nimetenda dhambi, dhambi zangu ni hizi, nimehifadhi picha za ngono kwenye simu yangu na pia nina sms za matusi kwenye simu yangu. Padri akamwambia Muumini kwa sauti ya chini NIFOWARDIE..