GE2025 Padri Kitima: Uadilifu wa uchaguzi umeshuka kwa kiwango kikubwa

GE2025 Padri Kitima: Uadilifu wa uchaguzi umeshuka kwa kiwango kikubwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima amesema uadilifu wa uchaguzi umeshuka nchini, jambo linalotishia kuwepo kwa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswa katika mahojiano na Jambo TV Online.

Fuatilia: Father Kitima


 
Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima amesema uadilifu wa uchaguzi umeshuka nchini, jambo linalotishia kuwepo kwa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswa katika mahojiano na Jambo TV Online.

Fuatilia: Father Kitima

Nchi inaongozwa na watu wenye brain ndogo kama ya ragworm!
 
Wakat wa magufuri hawakuongea hata kdgo hawa watu swala la uchaguzi ilkuaje?? Kuna awam ambayo viongozi wa upinzani waliminywa kam awam ya 5??Why now kuongea sna hawa viongoz mnaoita wadin
 
Uadilifu ukishuka huwez tegemea tena mfumo wa just kuamini tu mtu....inabid njia za enforceable ziwe applied.....business as usual is not acceptable
 
Wakat wa magufuri hawakuongea hata kdgo hawa watu swala la uchaguzi ilkuaje?? Kuna awam ambayo viongozi wa upinzani waliminywa kam awam ya 5??Why now kuongea sna hawa viongoz mnaoita wadin
Kwa sababu mnafanya hila ya kurudisha nchi hii kwenye mahakama ya kadhi .
 
Wakat wa magufuri hawakuongea hata kdgo hawa watu swala la uchaguzi ilkuaje?? Kuna awam ambayo viongozi wa upinzani waliminywa kam awam ya 5??Why now kuongea sna hawa viongoz mnaoita wadin
Ulikua hujazaliwa au ulikua kwenye blanketi la ujinga au kwa sasa unaandamwa na udini na unajitoa ufahamu takataka wewe
 
Wakat wa magufuri hawakuongea hata kdgo hawa watu swala la uchaguzi ilkuaje?? Kuna awam ambayo viongozi wa upinzani waliminywa kam awam ya 5??Why now kuongea sna hawa viongoz mnaoita wadin
Wewe utakuwa hukuona waliongea ikafikia hatua jamaa aliyekuwa anashikilia nafasi ya kitima akanyanganywa uraia
 
Waliongea sana
Wakat wa magufuri hawakuongea hata kdgo hawa watu swala la uchaguzi ilkuaje?? Kuna awam ambayo viongozi wa upinzani waliminywa kam awam ya 5??Why now kuongea sna hawa viongoz mnaoita wadin
Waliongea sana...nakumbuka askofu moja wa huko ngara aliambiwa na magufuli kwamba hakuwa raia wa tz
 
Wakat wa magufuri hawakuongea hata kdgo hawa watu swala la uchaguzi ilkuaje?? Kuna awam ambayo viongozi wa upinzani waliminywa kam awam ya 5??Why now kuongea sna hawa viongoz mnaoita wadin
Unataka aje aongee wakati wa nani?
 
Wakat wa magufuri hawakuongea hata kdgo hawa watu swala la uchaguzi ilkuaje?? Kuna awam ambayo viongozi wa upinzani waliminywa kam awam ya 5??Why now kuongea sna hawa viongoz mnaoita wadin
Ukweli ni kwamba ccm wamezidi wizi, haijalishi ni wakat wa nani au nani. Sasa wew tizama kiongoz wa dini ila ukweli ni kwamba haki hakuna 😳
 
Wakat wa magufuri hawakuongea hata kdgo hawa watu swala la uchaguzi ilkuaje?? Kuna awam ambayo viongozi wa upinzani waliminywa kam awam ya 5??Why now kuongea sna hawa viongoz mnaoita wadin
kafuatilie vzr pengine kipindi hicho ulikuwa shamba hukujua kilichokuwa kinaendelea
 
Back
Top Bottom