Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Ujuaji sana utakudhuru. Unadhani haiwezekani? au inakuuma yeye kuwa vyote? Huyo ni mwanajeshi kamili, major na padri kamili, eti kaomba kibali, Yani hizi akili mnatoaga wapi? Kaombe na wewe basi. Unadhani jeshi ni BASATA?
 
Ujuaji sana utakudhuru. Unadhani haiwezekani? au inakuuma yeye kuwa vyote? Huyo ni mwanajeshi kamili, major na padri kamili, eti kaomba kibali, Yani hizi akili mnatoaga wapi? Kaombe na wewe basi. Unadhani jeshi ni BASATA?
Kaomba kibali sababu alikua ni "chaplain" huko Sudani, tafuta maana ya "chaplain" kwanza kabla hujaandika nonsense. Umeangalia interview yake ??? Mana Kila nilichoandika kasema kwenye interview yake sasa sijui wewe unabisha kwa misingi ipi.
 
Kaomba kibali sababu alikua ni "chaplain" huko Sudani, tafuta maana ya "chaplain" kwanza kabla hujaandika nonsense. Umeangalia interview yake ??? Mana Kila nilichoandika kasema kwenye interview yake sasa sijui wewe unabisha kwa misingi ipi.
We kutulize. Sisi tunamfahamu personally, kuwa chaplain haikuzuii kuwa mwanajeshi kamili. Huyo ni major na pia anafanya huduma za kichungaji , ata uraiani anasoma misa, na jeshini pia, usichotaka kuelewa ni nini?
 
We kutulize. Sisi tunamfahamu personally, kuwa chaplain haikuzuii kuwa mwanajeshi kamili. Huyo ni major na pia anafanya huduma za kichungaji , ata uraiani anasoma misa, na jeshini pia, usichotaka kuelewa ni nini?
😂😂😂 Kweli hujui chochote huyo sio mwanajeshi period. Anyway kama umesoma chuo kikuu utakua angalau unaweza ku connect dots, huko vyuo vikuu Kuna wanajeshi kibao wanasoma na Kila mwaka Wana graduate, swali langu ni hili, umeona lini hata mwanajeshi mmoja kati ya Hawa mamia kama sio maelfu Wanao graduate Kila mwaka siku ya graduation ceremony kavaa sare ya jeshi??? Hamna kitu unajua alaf una ropoka ujinga
 
Hujui kitu chochote we kwanza sio mkatoliki na hujui upadri na lolote. Padri anaruhusiwa kuwa chochote na upadri ukabaki. Huyo ni major rimisho. Namjua sana na nimekaa nae parokia ya sinza. Mpaka gari lake lenye communication centre ya kijeshi nalifaham, Yani kiufupi namfaham personally. Acha kiherehere. Naona inakuuma sana mwenzio kuwa na kofia nyingi. Ndio hivi huna la kufanya na ni MAJOR, PADRI, ARCHITECT. GERE ITAKUUA BWEGE MMOJA WEWE. ☝🏿😂😂😂 Kujifanya unajua kumbe kenge tu. You know nothing you envious piece of crap.
 
Ana hizo kofia zote lakini sio ya kijeshi.... Alaf wengine mna sema ni commando 😂😂😂...Alaf swali la msingi hujajibu ni hv umeona wapi mwanajeshi ame graduate mahafali ya chuo kikuu na sare ya Jeshi???? Na hata wakiwa kwenye sherehe Wana suti zao huvaa za kijani au nyekundu kulingana na sherehe ilivyo .... 😂😂😂😂 Yeye sherehe ana Vaa gwanda??? 😂😂😂sio mwanajeshi uyo ndugu.
 
kaangalie interview yake kama hutaelewa basi Sina namna ya kufuta ujinga wako😂😂😂.
 
Midemko ya bongo utaiweza? Weka picha tu vitu vingine watasawazisha wenyewe!
 
Blessed Kilimanjaro
 
Hujui kitu endelea kuchunga kondoo hapo ushirombo
 
Chuki ,ujinga na umaskini ndio vinakutesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…