Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,883
- 3,802
Kuna baadhi ni mafundi wa kung fuVipi usheikh nao unakubalika kuchanganya uanajeshi na usanifu wa majengo?
Kuna baadhi ni mafundi wa kung fuVipi usheikh nao unakubalika kuchanganya uanajeshi na usanifu wa majengo?
Tapeli tu eti kupambanua roho
Kabisa asee unaweza kuta nae ana black belt maana jamaa amekàkamaa balaa
hapo ndipo umethibitisha ninachosema 'IQ yako ndogo sn' ( yaani unaangalia vitu vidogo kwenye chapisho badala ya ku-ng'amua ujumbe mkuu kwenye chapisho) bado haujui kuwa kwenye typing kuna kitu kinaitwa"TYPING ERROR" elewa content chating ya JF sio mtihani wa kiswahili!!Bora iendelee kubaki "Ndigo" kajifunze kwanza kuandika.Kwa taarifa yako Padre mmoja wa RC ni sawa na wachungaji na maaskofu 10 wa madhehebu mengine! Sasa aende huko kufuata nini?
Elewa kua tumeshamjua Hana tabia za condition whiteKuna brother wa kitaa Sengerema anaitwa Bosco Mosha (Maneno anaifahamu hii familia), kwasasa yupo Glasgow kule group la home huyu Padre ni classmate wake alisoma naye Uru Seminary, na akiwa Padre kabatiza watoto wa Bosco. Kweli ni Padre wa hilo shirika linalotajwa, sio Padre wa jimbo (kwa wakatoliki wanajua tofauti). Shirika lake lilimtuma South Sudan kutoa huduma ya kiroho na kule aliingizwa SPLA (Jeshi la Ukombozi la Sudani Kusini) na Garang. Then alipata basic training na kuwa Chaplain (mhudumu kiroho) kwenye Jeshi la South Sudan, vyeo hivyo alipandishwa hukohuko South Sudan, hopefully tunafahamu upandishwaji wa vyeo kwa SPLA ulikuwa wa mtindo gani, very politically kwa interest tofauti. Kwa taarifa za brother Bosco hata hizo uniform ni za South Sudan (SPLA). Ila hana uhakika wa cheo cha Meja, sio Komando ila anapenda kucheza Karate na Kung-fu kama part ya mchezo na kujiweka fit.
fafanua mkuu: condition white ni nini?Elewa kua tumeshamjua Hana tabia za condition white
Hayo ni mambo yetu wana intelejensiafafanua mkuu: condition white ni nini?
Nina wasiwasi na habari hizi... kwanza alivyovaa kofia Barrett. Utadhani ni mwizi. Hakuna cheo change nyota zaidi ya tatu, hii yake inaonysha kuvaa nyota zaidi nne. Halafu JWTZ awana beji yenye msalaba. Rangi ya kombati, ni tofauti na JWTZ.....Huyu mkatoliki padri wa shirika mitume wa yesu yaani Apostles of Jesus (AJ) anaitwa Henry Rimisho pia ni lecturer hapo hapo Ardhi university
HONGERA, NI PADRI, COMMANDO, ENGINEER, LECTURER NK
Anaandika Brother Valerian Komu Valerian
____________
Komandoo wa JWTZ, Padre, Architect Henry Rumisho Mmsionary wa Apostles of Jesus; akiwa kwenye graduation pale Ardhi University Leo ambapo atatunukiwa PhD in Architecture.
Baadhi ya Mapadre wa Kanisa katoliki hujifunza na kuwa tayari kufanya kazi za kichungaji kwa askari walioko mstari wa Mbele vitani, wanajulikana kama Military Ordinariate, hufanya mazoezi na kupanda katika vyeo vya kijeshi sawa na wanajeshi wengine
Fr.Rumisho alihudumu uwanja wa vitani huko Dafour Sudan Nk.
Lakini pia Yeye ni Talented Comandoo, ana uwezo wa kufanya mazoezi magumu ya kikomandoo.
Ukiacha masomo yaliyomwezesha kuwa Padre, ana Bachelor degree, Masters, na leo anatunukiwa PhD zote za Architecture.
Pia ni Professional Architect aliyesajiliwa na Board ya AQRB.
Lakini ni Lecturer..School of Architecture , Ardhi University.
Ana karama nyingi.
Cc castongo naomba mchango ktk hili nafahamu wewe ni mtaalamu zaidi
View attachment 2033006View attachment 2033007
View attachment 2033020View attachment 2033023
Umeja wa jeshi la wokovu sawa!U meja je!?
Sifa zote anazosifika nako sii zake na sio za kweli, sifa yake ya kweli ni Upadre pekee!!Nina wasiwasi na habari hizi... kwanza alivyovaa kofia Barrett. Utadhani ni mwizi. Hakuna cheo change nyota zaidi ya tatu, hii yake inaonysha kuvaa nyota zaidi nne. Halafu JWTZ awana beji yenye msalaba. Rangi ya kombati, ni tofauti na JWTZ.....
Kazi ya Padre ni kutangaza Injili. Yesu aliwaambia nendeni kila kona ya ulimwengu mkatangaze neno langu mkijua nipo nanyi mpaka ukamilisho wa dahari. Ndiyo maana kabla ya uhuru waliweza kwenda vijijini kusikokuwa na barabara wala umeme; hawajui lugha ya wananchi; na bado wakaishi miaka nenda rudi. Na hii si kwa Tanzania peke yake. Wengine walienda Bara la Asia na wengine Marekani ya kusini, n.k. Sasa ujasusi huko kijijini ni kwa manufaa yapi? Wengi wanaandika nikifa nizikwe hapa hapa. Na ndivyo inavyokuwa. Kijijini kwangu tu kuna wawili waliozikwa huko; Mholanzi na mwingine kuto Canada. Pia nawafahamu Wajeremani wawili waliozikwa kwenye kijiji kingine. Wote walifariki wakiwa na zaidi ya miaka 80 baada ya kuishi huko zaidi ya miaka 20. Tuwabambikie ujasusi eti tu kwa kuwa walikubali kuishi maisha ya taabu wakati walikuwa na fursa ya kuishi vinginevyo?Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia! Baadhi ya Ma Padre ni majasusi! Nimeanza kuamini hili suala! Ndiyo maana unakuta padre mzungu yuko vijijini ndani ndani kabisa huko,anaishi nyumba haina hata umeme,maji shida,usafiri shida, Mawasiliano ya simu shida! Lakini yuko na anaishi huko hata miaka 10
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hiyo jezi ni ya sudani kusini..Nina wasiwasi na habari hizi... kwanza alivyovaa kofia Barrett. Utadhani ni mwizi. Hakuna cheo change nyota zaidi ya tatu, hii yake inaonysha kuvaa nyota zaidi nne. Halafu JWTZ awana beji yenye msalaba. Rangi ya kombati, ni tofauti na JWTZ.....
😂😂😂 People like to get things twisted so much... Anyways huyo Padre sio commando Wala mwanajeshi... Ila alipata kuhudumu sehemu zenye machafuko ya kivita huko Sudani na alikua akitoa huduma za kiroho kwa wananchi na Wana jeshi wa eneo hilo kwa kifupi alikua chaplain. Sio commando Wala mwanajeshi na kama uliangalia interview yake vizuri utaona story yake yote ya Elimu na U padre lakini sio jeshini.... Na hata wakati wa mahafali yake alilazimika kuomba kibali jeshi limruhusu kuvaa hizo sare iwe ukumbusho kwake. 😂😂😂 Ila wa bongo sasa tunavyo twist vituWana Jamii From!
Bila yakupoteza muda naomba kufahamu jambo moja zito ambalo kwa uelewa wangu nimeshindwa lipatia majibu!
Hivi inawezekana vipi Mtumishi wa Mungu Padre awe mwanajeshi tena komandoo??
Picha hapo chini ni Padre Henry,ambaye ni mwanajeshi komandoo,ambaye katunukiwa PhD yake ya Architecture!
Mkuu mbona kuna clip inamwonyesha akicheza na cheni mithili ya bruce lee.😂😂😂 People like to get things twisted so much... Anyways huyo Padre sio commando Wala mwanajeshi... Ila alipata kuhudumu sehemu zenye machafuko ya kivita huko Sudani na alikua akitoa huduma za kiroho kwa wananchi na Wana jeshi wa eneo hilo kwa kifupi alikua chaplain. Sio commando Wala mwanajeshi na kama uliangalia interview yake vizuri utaona story yake yote ya Elimu na U padre lakini sio jeshini.... Na hata wakati wa mahafali yake alilazimika kuomba kibali jeshi limruhusu kuvaa hizo sare iwe ukumbusho kwake. 😂😂😂 Ila wa bongo sasa tunavyo twist vitu
Ndugu Yale ni mafunzo ya ki scout tuu nothing more ...Mkuu mbona kuna clip inamwonyesha akicheza na cheni mithili ya bruce lee.
Kwahiyo Tulipigwa Na Kitu Kizito Mpaka Kamasi Likatoka PuaniNdugu Yale ni mafunzo ya ki scout tuu nothing more ...
SahihiKwahiyo Tulipigwa Na Kitu Kizito Mpaka Kamasi Likatoka Puani
Tanzania Tuna Tatizo Mpaka Vyombo Vya Habari VikatupotoshaSahihi
Hii imekaaje?People like to get things twisted so much... Anyways huyo Padre sio commando Wala mwanajeshi... Ila alipata kuhudumu sehemu zenye machafuko ya kivita huko Sudani na alikua akitoa huduma za kiroho kwa wananchi na Wana jeshi wa eneo hilo kwa kifupi alikua chaplain. Sio commando Wala mwanajeshi na kama uliangalia interview yake vizuri utaona story yake yote ya Elimu na U padre lakini sio jeshini.... Na hata wakati wa mahafali yake alilazimika kuomba kibali jeshi limruhusu kuvaa hizo sare iwe ukumbusho kwake. Ila wa bongo sasa tunavyo twist vitu