Padre asema tumuombee rpc wa mwanza

ACCOUNT FULL

JF-Expert Member
Sep 24, 2012
1,984
360
Habar wana jf, jana jion nilikuwa kwnye misa kanisa la chang'ombe tmk,padre aliyeendesha hyo misa alisema kuwa ameckitishwa sana na kifo cha RPC wa mwanza,kwan anamjua walisoma nae seminary na ni mtu aliyekuwa ni mcha mungu,hvyo amesikitishwa sana na kifo chake,na akasema tumuombee kwa mungu alale mahali pema.
Kwa mtumishi wa mungu kusema hvyo sawa, je ni sawa kwa sisi wengine kumuombea marehemu alale mahali pema?
ukizingatia kuwa rpc alikuwa anafuata maagizo ya selikali ambayo mengi yake yalikuwa ni kukandamiza wanyonge? pia hata kifo chake bado hakijawa wazi nn ni chanzo chake, mm binafsi naona ni mapema sana kumuomba mungu amlaze mahali pema.
Nawaslisha
 
Habar wana jf, jana jion nilikuwa kwnye misa kanisa la chang'ombe tmk,padre aliyeendesha hyo misa alisema kuwa ameckitishwa sana na kifo cha RPC wa mwanza,kwan anamjua walisoma nae seminary na ni mtu aliyekuwa ni mcha mungu,hvyo amesikitishwa sana na kifo chake,na akasema tumuombee kwa mungu alale mahali pema.
Kwa mtumishi wa mungu kusema hvyo sawa, je ni sawa kwa sisi wengine kumuombea marehemu alale mahali pema?
ukizingatia kuwa rpc alikuwa anafuata maagizo ya selikali ambayo mengi yake yalikuwa ni kukandamiza wanyonge? pia hata kifo chake bado hakijawa wazi nn ni chanzo chake, mm binafsi naona ni mapema sana kumuomba mungu amlaze mahali pema.
Nawaslisha

No wonder RPC alikuwa kicheche, watu wa seminary huzibukia ukubwani kwenye yale majamboz
 
Sisi sote ni wadhambi. Hakuna hata mmoja kati yetu anayefahamu kwamba machoni kwa Mwenyezi Mungu yeye ni bora zaidi ya huyu marehemu.

Ni lazima kumwombea yeyote anayekufa HURUMA ya Mungu. We sin against charity if we do not do that.

Kuhukumu ni kazi ya Mungu. Letu sisi ni kusikitika na wafiwa, na kumkabidhi Mungu mambo yote.

Kufurahia kifo cha binadamu (no mater who) ni kukosa kabisa kuelewa misingi ya Ukristu.
 
Hata tukimuombea sasa hivi haitasaidia, alitakiwa atengeneze maisha yake akiwa hapa duniani, sisi tunachotakiwa ni kuwaombea waliobaki Mungu awatie nguvu na uvumilivu kipindi hiki kigumu.
 
Huyu Bwana barrow nahisi Muda huu anachezea bakora tu, angekuwa Ana uwezo angerudi kuwaonya kamuhanda na wenzake wabadilike, kumbukeni ile stori ya masikini Lazaro alivyokutana na Tajiri mbinguni Huku Tajiri akiungua moto aka wa anamuomba Lazaro hata tone moja la maji,
 
RPC aliishi hivyo kutokana na NATURE ya kazi yake. padre naye yuko kazini "so what!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"

Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipoooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kila binadamu anamapungufu yake,maana hakuna aliye mkamilifu,mwenzetu anapomaliza kazi yake hapa dunia,ni vyema kumpata heshima yake ya mwisho bila kujali ni mabaya au mazuri mangapi ameyafanya
 
Ukristo unatufundisha kuwaombea hata maadui zetu ndio maana tunawaombea hata hao wanaotuchomea makanisa!
 
fr nae katoa mpya, anajua alikuwa na small house yake
ndio ikamponza hili kalisema katika mahuburi yake au ndio ile tabia
ya kumsafisha kila marehemu kuwa ni mcha Mungu nk.
RIP anapostahili huyu
 
Kama hukujiombea usisubiri wengine wakuombee.Mtu anaandaa makazi yake mwenyewe kabla ya kufa.Haya mengine ni mbwembwe tu za kukamilisha taratibu za maombi
 
Hata tukimuombea sasa hivi haitasaidia, alitakiwa atengeneze maisha yake akiwa hapa duniani, sisi tunachotakiwa ni kuwaombea waliobaki Mungu awatie nguvu na uvumilivu kipindi hiki kigumu.

It is never too late to pray for anyone. God exists outside of time. He will have known your intention to pray for the repose of the soul of the late RPC even before you were born, indeed before the beginning of time. As He judges our brother, He will factor in your prayer.

You contradict the omnipotency of God when you think that He is incapable of applying your prayer to benefit a dead person. Nothing is impossible to God.
 
Back
Top Bottom