OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,628
- 9,175
Hii habari ni ya kusimuliwa,Ukiamini Mungu unamuamini Padre kama mtu wa Mungu hawezi kukufanyia mabaya.
Unajiachia. Anakufunga goli. Unashangaa inawezekanaje Padre mtu wa Mungu kakufanyia hivyo.
Mwanamke anafunguliwa mpaka zipu katika maombi. Padre anaombea mbunye, anaishikashika. Mwanamke analegea. Padre anapitisha kitu.
Usipoamini habari za Mungu hata muda wa kwenda kumsikiliza Padre huna na hivyo hapati hata pa kukuanzia.
Pia ukimsoma vizuri utaona anachanganya mambo,
Hajui kutofautisha kati ya padri na mchungaji wa makanisa ya kileo,
Jinsi ulivyoeeza kuamini hii chai,
Ndivyo hivyo hivyo ulivyoweza kuamini kuwa mungu hayupo,
Tatizo unapenda kusikia kile kinachokufurahisha, tatizo linaanzia hapo, unakuwa excited emotionally,
Na kuacha kufikiri kisawa sawa.
Ulitakiwa ufikirie one step backward kwa aliyeleta maada anadhumuni gani