General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Kuna jamaa angu tulisoma wote form 1, na manzi mmoja ambae alikuja kuwa dem wangu nikiwa chuo.
Mimi na huyo manzi tulihama tukiwa form 1 lkn hatukuwa na ukaribu hadi tumekuja kutana chuo na mapenzi yakanzia huko.
Huyo jamaa yangu alikuwa anasomea upadri na alikuwa katika hatua za mwanzoni km miaka 2 hivi akiwa chuo cha upadri.
Sasa dem wangu alipoyeza sim kwa uzembe kabisa na sim hiyo nilimnunuliaga. Akaniomba nimwongezee pesa nikakataa.
Jamaa aliekuwa anasomea upadri akawa anamtafuta na kumtongoza kila siku, lkn jamaa hakujua km ninadate na huyu manzi.
Hazijaisha siku mbili naona manzi ana tekno C7 mpyaaa. Nikamwuliza umetoa wapi akasema dada ake kamwongezea pesa, kumbana akasema flani( ambae ni padri) kamnunulia.
Mi nikachukulia poa nikijua jamaa ni classment wetu hivyo hawez mnunulia simu kwa benefit. Nikapotezea.
Sasa bhana, siku hiyo tumelala zikawa zinaingia msg za WhatsApp kwenye sim yake, ikanibidi niangalie nani anasumbua usiku huu yeye akiwa kalala.
Dah, nilikuta mitongozo ya kufa mtu kwa huyo padri akilalamika manzi kamtapeli, walikubaliana akimnunulia sim atamzaaadia papuch.
Jamaa analalamika kafunga safari hadi dar kakudanganya kapata msiba ili aje kugegeda lkn kaambulia kuzimia sim.
Demu alimjibu atamtafutia ela yake bumu likitoka lkn hawez fanya kitu km hicho kwani an mtu anae mpenda na istoshe wewe ni padri.
Jamaa akazidi kulalamika bora asinge mwahidi kupewa papuch, mara njoo basi nikuone tu na mambo kibao.
Nilibaki kuduwaa, nikazima data na kulala.
Sikumweleza chochote, zimepita km siku tatu nikamwuliza una uhusiano gani na padri, nashangaa mtoto anaanza kulia, mwishoe akanieleza kila kitu.
Nilipotezea kwakua nilishajua ni mwaminifu.
Tulikuja achana kwa sababu za kijinga kabisa,
Ila mpka sasa hatutafutani japo anaeleza wenzie bado haamini km kaachana na Mangi
Siku hizi hakuna cha padri, sheikh wala mchungaji, wotr wahuni tuu
Mimi na huyo manzi tulihama tukiwa form 1 lkn hatukuwa na ukaribu hadi tumekuja kutana chuo na mapenzi yakanzia huko.
Huyo jamaa yangu alikuwa anasomea upadri na alikuwa katika hatua za mwanzoni km miaka 2 hivi akiwa chuo cha upadri.
Sasa dem wangu alipoyeza sim kwa uzembe kabisa na sim hiyo nilimnunuliaga. Akaniomba nimwongezee pesa nikakataa.
Jamaa aliekuwa anasomea upadri akawa anamtafuta na kumtongoza kila siku, lkn jamaa hakujua km ninadate na huyu manzi.
Hazijaisha siku mbili naona manzi ana tekno C7 mpyaaa. Nikamwuliza umetoa wapi akasema dada ake kamwongezea pesa, kumbana akasema flani( ambae ni padri) kamnunulia.
Mi nikachukulia poa nikijua jamaa ni classment wetu hivyo hawez mnunulia simu kwa benefit. Nikapotezea.
Sasa bhana, siku hiyo tumelala zikawa zinaingia msg za WhatsApp kwenye sim yake, ikanibidi niangalie nani anasumbua usiku huu yeye akiwa kalala.
Dah, nilikuta mitongozo ya kufa mtu kwa huyo padri akilalamika manzi kamtapeli, walikubaliana akimnunulia sim atamzaaadia papuch.
Jamaa analalamika kafunga safari hadi dar kakudanganya kapata msiba ili aje kugegeda lkn kaambulia kuzimia sim.
Demu alimjibu atamtafutia ela yake bumu likitoka lkn hawez fanya kitu km hicho kwani an mtu anae mpenda na istoshe wewe ni padri.
Jamaa akazidi kulalamika bora asinge mwahidi kupewa papuch, mara njoo basi nikuone tu na mambo kibao.
Nilibaki kuduwaa, nikazima data na kulala.
Sikumweleza chochote, zimepita km siku tatu nikamwuliza una uhusiano gani na padri, nashangaa mtoto anaanza kulia, mwishoe akanieleza kila kitu.
Nilipotezea kwakua nilishajua ni mwaminifu.
Tulikuja achana kwa sababu za kijinga kabisa,
Ila mpka sasa hatutafutani japo anaeleza wenzie bado haamini km kaachana na Mangi
Siku hizi hakuna cha padri, sheikh wala mchungaji, wotr wahuni tuu