hapa naomba utoe ushauri wako na sio kuniuliza maswali, its a serious issue plse
sasa hivi ni visa vya mapenzi au vya kimalaya??ingekuwa kuwa na mpenzi, kupata mikasa ya kimapenzi ni umalaya basi asingesalimika m2 hapaaaaa,mpaka kwa mababu zetu hukoooooooooooo
sasa hivi ni visa vya mapenzi au vya kimalaya??
Yaaaani ninyi mna tabia kama za kwetu me Dotto yupo Kulwa wangu dah! ni shiiida....!!! kuna siku tulitaka kupigana tena home mpaka Mama akaingilia. hebu njoo PM tuonge zaidi pacha mwenzangutumezaliwa mapacha tunaofanana sana kiasikwamba hata marks zetu darasani zinakaribiana sana.tunapendana saaana. lakini tatizo huyu mdogo wango (doto) kila napokuwa na uhusiano na mwanaume na yeye pia anamtaka huyo huyo, atafanya juu chini mpaka ata............ naye. mbaya zaidi wanaume inawachukua muda sana kututofautisha na hapo ndipo twin wangu anachukua nafasi.nifanyeje jamani?????
angalizooooo: ni ushauri tu unahitajika ndugu zangu wapenzi na sio kejeri na matusi
sio ivo, izo hesabu zako zinavuruga mada. hakuna x plus one hapo.nikimwachia huyo bwana hamtaki tena anataka tutumie bwana mmoja
Sasa si umuache nae ale mihogo,au unafikiri ataimaliza? mihogo haitaisha ila yeye ndio ataisha.Tumezaliwa mapacha tunaofanana sana kiasi kwamba hata marks zetu darasani zinakaribiana sana.
Tunapendana sana lakini tatizo huyu mdogo wango (Dotto) kila napokuwa na uhusiano na mwanaume na yeye pia anamtaka huyo huyo, atafanya juu chini mpaka ata*** naye.
Mbaya zaidi wanaume inawachukua muda sana kututofautisha na hapo ndipo twin wangu anachukua nafasi.
Nifanyeje jamani?