PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

Wadau mbona kama issue ya Escrol imefunikwa na huku mahela yetu mengi bado tunayadai, hasa kwenye ile Account ya Stanbiki ambayo mpaka sasa hakuna anayeizungumzia kuhusu majina ya waliochukua pesa na wala pesa zenyewe, au ndo ule mtindo wetu wa akili ndogo za kufuata matukio na si kujadili masuala.

Nawasilisha.
 
Wadau mbona kama issue ya Escrol imefunikwa na huku mahela yetu mengi bado tunayadai, hasa kwenye ile Account ya Stanbiki ambayo mpaka sasa hakuna anayeizungumzia kuhusu majina ya waliochukua pesa na wala pesa zenyewe, au ndo ule mtindo wetu wa akili ndogo za kufuata matukio na si kujadili masuala.<br><br>Nawasilisha.
 
Wadau mbona kama issue ya Escrol imefunikwa na huku mahela yetu mengi bado tunayadai, hasa kwenye ile Account ya Stanbiki ambayo mpaka sasa hakuna anayeizungumzia kuhusu majina ya waliochukua pesa na wala pesa zenyewe, au ndo ule mtindo wetu wa akili ndogo za kufuata matukio na si kujadili masuala.

Nawasilisha.
Tuwaombe David Kafulila na Zito Kabwe wazifuatilie na watupe Data.
 
Wadau mbona kama issue ya Escrol imefunikwa na huku mahela yetu mengi bado tunayadai, hasa kwenye ile Account ya Stanbiki ambayo mpaka sasa hakuna anayeizungumzia kuhusu majina ya waliochukua pesa na wala pesa zenyewe, au ndo ule mtindo wetu wa akili ndogo za kufuata matukio na si kujadili masuala.<br><br>Nawasilisha.
za stanbic zilibebwa kwenye magunia na akina pinda, werema muongo na wenzao, kwa hiyo ni ngumu sana kuzizungumzia kwa sababu zinawagusa wakubwa moja kwa moja.
 
Tupo makini sana na tunafuatilia kila hatua, si unaona magazeti kila siku yanaripot?

leo marekani nayo imeongea kwa hiyo tupo care sana, jumapili tunatoa adhabu kwa CCM uchaguzi wa S/M.
 
Kweli mkuu, maana watanzania washaanza kusahau, tusubiri jingine........

Mimi pia sijaelewa vizuri kuhusu wizi huu kwani tuliambiwa hela za Escrow zilikuwa 320 billion, Mkombozi zikatolewa 3.3billion na stanbic zikatolewa kwa viroba 70 billion. Je zilizobaki 246.7 bllion zilienda wapi?
 
Bado kuna maswali mengi najiuliza kuhusu kashfa hii na jinsi kamati ya bunge ilivyo fanya kazi yake, inatia mashaka sana, bado watanzania kuna maswali ya msingi ambayo bado yanatukereketa maana inaonekana kuna kundi kubwa la watu limeacha pasipo kutaja kwenye kashfa hii inawezekanaje swala hili ambalo linaonekana kuigusa moja kwa moja wizara ya fedha lakin hakuna kiongozi aliyependekezwa kuwajibishwa huko, vilevile inaonekana kabisa pale TANESCO kulikuwa na ujanjaujanja wakusaidia hela hii iliwe na mafisadi lakini bado hajapendekezwa kuwajibishwa yeyote, Kinachoshangaza zaidi ni pale BANK zilizopokea hela kuonekana ni taasisi za utakatishaji pesa lakin BOT isionekane taasisi ya utakatishaji pesa MIMI NINGEPENDA KUWAELEZA TUNAPOTAKA KUPAMBANA NA UFISADI TUSIANGALIE SURA WALA UHUSIANO UFISADI NI SUMU INAYOSAMBAA NA INAUA HARAKA SANA, FISADI NA MTU ANAYEMLINDA FISADI WOTE LAO MOJA
 
Taasisi ya Kuzuia Rushwa ndogo ndogo ilichunguza & Mdhibiti mkuu wa Fedha za serikali alichunguza;Na uchunguzi ulienda kutafasiliwa na PAC kwa vitendo; Kwenye PAC wajumbe 19- kutoka CCM, wajumbe 5-toka Upinzani: Hapana shaka yoyote kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ndio yenye maamuzi yaliyosomwa Bungeni ili sasa rais aweze kutekeleza. Tusubiri tuone maana zimebaki dakika tu Rais ataongea. Hasipoongea ESCROW kwa umuhimu wake tutatake note na HASIRA itazidi kuwaka toka kwa wananchi juu ya CCM na serikali yake; na Fainali ni 2015 kwenye masanduku ya KURA.
 
Acha kuandika ujinga hapa nenda Lumumba kaandike upumbavu huu

hapa tuko watu makini PAC haina taarifa wao walijumuisha Taarifa ya PAC na Takukuru pamoja na TRA

acha nyege pumbafuu mwizi wee
 
Acha kuandika ujinga hapa nenda Lumumba kaandike upumbavu huu

hapa tuko watu makini PAC haina taarifa wao walijumuisha Taarifa ya PAC na Takukuru pamoja na TRA

acha nyege pumbafuu mwizi wee
 
Bunge lijalo lianzie hapa.
Zitto alifanya usanii kuleta taarifa iliyojaa blahblah badala ya facts ili kuwalinda wahusika
 
WADAU TUJARIBU KUJIKUMBUSHA YALE YALIYOSEMWA NA MH LUSINDE KATIKA BUNGE,,KIPINDI AKICHANGIA JUU YA SAKATA LA ESCROW!!! NI VEMA MH ZITTO AKAZIJIBU TUHUMA HIZI KABLA YA KUHUSIKA KATIKA KUMSAFISHA MUHANGA YEYOTE YULE ALIYEKUMBWA NA SAKATA HILI!!!
 

Attachments

  • Mh Zitto Kabwe ausishwa na ulaji wa Escrow BUNGE TBC1.mp3
    4.6 MB · Views: 65
Last edited by a moderator:
Mbowe alisema hivi:
Nashangaa watu wanaochoma moto vibaka na kumuacha Fisadi kama Lowasa akitanua mtaani.

Msigwa akasema hivi:
Yeyote anayemuunga Mkono Lowasa akapimwe akili.

Mnyika akasema hivi:
Nina Ushahidi wa kutosha juu ya Ufisadi wa Lowasa.

Tundu Lissu akasema
CCM wamempa fomu Lowasa kugombea Uraisi, ni jambo la hatari sana.

Zitto alitimiza wajibu wake kwenye Escrow, lakini Sakata la Escrow siyo mwisho wa maisha ya siasa, Mtu akijiuzulu siyo mwisho wa siasa
 
Back
Top Bottom