Paaap 2026 Unaamka Unakutana na Hili

Paaap 2026 Unaamka Unakutana na Hili

TOP-TIER CABINET FOR 2026.

1. President of URT Samia Suluhu Hassan.

2. Vice President Philip Isdor Mpango.

3. Prime Minister Paul Christian Makonda.

4. Attorney General Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.

TOP-TIER FOR CCM 2026.

1. Chairperson Samia Suluhu Hassan.

2. Deputy Chair Kassim Majaliwa Majaliwa.

3. Secretary General Luhaga Joelson Mpina.

4. Deputy Secretary General Humphrey Herson Polepole.

5. CCM Spokesperson Stephen Masatu Wasira.

NB
Kwenye siasa Punda na Pundamilia hawana tofauti.

Habari ni burudani pia, usighafilike? Toa maoni yako.
Hii itakuwa ni Nchi ya Matamko 🤣🤣🤣
Na sio nchi ya Utendakazi 🤣🤣
Ila mgombea mwenza wa Sa100 hawezi kuwa tena Mpango..

Time will tell,...Tunza hii comment
 
TOP-TIER CABINET FOR 2026.

1. President of URT Samia Suluhu Hassan.

2. Vice President Philip Isdor Mpango.

3. Prime Minister Paul Christian Makonda.

4. Attorney General Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.

TOP-TIER FOR CCM 2026.

1. Chairperson Samia Suluhu Hassan.

2. Deputy Chair Kassim Majaliwa Majaliwa.

3. Secretary General Luhaga Joelson Mpina.

4. Deputy Secretary General Humphrey Herson Polepole.

5. CCM Spokesperson Stephen Masatu Wasira.

NB
Kwenye siasa Punda na Pundamilia hawana tofauti.

Habari ni burudani pia, usighafilike? Toa maoni yako.
# 5 ..atakua na miaka mingapi ikifika 2026 ..
 
Hii itakuwa ni Nchi ya Matamko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na sio nchi ya Utendakazi [emoji1787][emoji1787]
Ila mgombea mwenza wa Sa100 hawezi kuwa tena Mpango..

Time will tell,...Tunza hii comment
Anakarabatiwa tu, wanasiasa hakuna mapooza.
 
Tarehe 1/1/2006 baada ya kusherehekea kufunga mwaka 2025 na matokeo ya uchaguzi mkuu na kuapishwa SSH, hamad! unaamka unakutana na timu hiyo.
Haitawezekana kwani utaratibu wa kupata au kupewa hivyo vyeo hauwezi kufanyika sambamba au Kwa wakati mmoja.
Mfano waziri mkuu Kwa mujibu wa Katiba yetu ya sasa anapatikana hadi bunge litakapoitishwa wabunge waapishwe ndio PM apendekezww
 
Back
Top Bottom