Paaap 2026 Unaamka Unakutana na Hili

Paaap 2026 Unaamka Unakutana na Hili

Na Sabaya tayari yuko waiting room kusubiri kuingia ofisi ya uteuzi.
Huyo simuoni kwakweli hana ushawishi na jumlisha bad reputation kwa wananchi, labda Bashiru.

Tofauti ya Makonda na Sabaya. Makonda anachukiwa na vigogo majizi pamoja na uongozi wa upinzani, ila wananchi wanamkubali.

Sabaya kawakera CCM wengi pro-against Magufuli kwa matendo yake, ana sifa mbaya kwa wananchi na kawakera mamlaka ya teuzi kwa jinsi alivyoachwa mahakama zimpe adabu.

Sioni Sabaya akirudishwa serikalini au kwenye chama kipindi hiki. Ama sivyo kila siku ile video yake ya Arusha akipora duka itakuwa ina trend Twitter na JF siioni CCM kutaka such publicity kwa sasa.
 
# 5 ..atakua na miaka mingapi ikifika 2026 ..
81, ata akikaa kwa miezi 6 atakuwa ameisha escort timu. Ole Sendeka alisalimia tu na kuondoka kwenye wadhifa huo. Wasira alifanya digrii yake ya 3 ya uchumi akiwa na miaka 68 na kuibuka mwanafunzi bora. Tunazeeka miili kwa miaka ya kustaafu lakini brain power bado inakuwepo.
 
Haitawezekana kwani utaratibu wa kupata au kupewa hivyo vyeo hauwezi kufanyika sambamba au Kwa wakati mmoja.
Mfano waziri mkuu Kwa mujibu wa Katiba yetu ya sasa anapatikana hadi bunge litakapoitishwa wabunge waapishwe ndio PM apendekezww
Burudani
 
Kigezo cha elimu kitamkwamisha au na yeye ana degree ?
Ana digrii ya Cooperative ya chuo kikuu cha Sokoine chuo kishiriki cha MoCU. Aligraduate digrii pamoja na Mtume Mwamposa wa Arise and Shine.

Sokoine na Kawawa hawakuwa na digrii wakati wanakuwa PMs.

Sumaye alienda Harvard baada ya kustaafu Uwaziri Mkuu, aliingia kwenye cabinet akiwa na stashahada ya kilimo ya Egerton University Njoro Kenya.
 
Huyo simuoni kwakweli hana ushawishi na jumlisha bad reputation kwa wananchi, labda Bashiru.

Tofauti ya Makonda na Sabaya. Makonda anachukiwa na vigogo majizi pamoja na uongozi wa upinzani, ila wananchi wanamkubali.

Sabaya kawakera CCM wengi pro-against Magufuli kwa matendo yake, ana sifa mbaya kwa wananchi na kawakera mamlaka ya teuzi kwa jinsi alivyoachwa mahakama zimpe adabu.

Sioni Sabaya akirudishwa serikalini au kwenye chama kipindi hiki. Ama sivyo kila siku ile video yake ya Arusha akipora duka itakuwa ina trend Twitter na JF siioni CCM kutaka such publicity kwa sasa.
Sabaya aligusa watu wa kawaida hakugusa VIPs, watu wa kawaida hawateui, wanapewa tu aliyeishateuliwa, VIPs ndiyo wanateua. Aidha, kwenye siasa hakunaga adui wa kudumu kuna maslahi ya kudumu.
 
Ana digrii ya Cooperative ya chuo kikuu cha Sokoine chuo kishiriki cha MoCU. Aligraduate digrii pamoja na Mtume Mwamposa wa Arise and Shine.

Sokoine na Kawawa hawakuwa na digrii wakati wanakuwa PMs.

Sumaye alienda Harvard baada ya kustaafu Uwaziri Mkuu, aliingia kwenye cabinet akiwa na stashahada ya kilimo ya Egerton University Njoro Kenya.
Urais unahitaji kuwa na degree hizo nafasi zingine unapewa hata std 7
 
Back
Top Bottom