Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,834
DIDDY AMPA MWANAE UFALME WA NEW YORK
Justin Dior (kulia) akiwa na Nicki aliyempa kampani siku hiyo.
P Diddy akiwa na wanae pamoja na Lil Kim.
Hili ndo gari lenyewe.
Justin Dior akivishwa taji na baba yake.
Justin akiwa kwenye ndinga aliyokabidhiwa.
New York, Marekani
NGULI wa Hip Hop, Sean Combs a.k.a P. Diddy, wiki iliyopita alifanya kufuru katika birthday party ya mtoto wake mkubwa, Justin Dior, aliyetimiza umri wa miaka 16 ikiwemo kumvisha taji kuwa Mwana wa Mfalme wa New York katika sherehe iliyogharimu dola milioni tatu...