goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 943
- 1,110
Ndg madaktari, mke wangu anapata hedhi isiyoeleweka. Mathalani aliingia mp tar 1 may na akaja kuingia tena tar 11 june takriban siku 40 hizo, au wakati mwingine siku 30, 35 zaid au chini ya hapo. Huo ni mfano mmoja tu lakini kimsing hedhi yake haina specific days kiasi nashindwa namna ya kupanga uzazi kwa kalenda. Je ni tatizo au vipi!? na ovulation day hapo itakuwaje.? Msaada tafadhari!!