Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,871
- 37,644
wanaume wa hapa sasa mshakuwa kama NYUMBU!!!!
Hizi thread wanaanzisha wavulana sio wanaume
Ndo wakoje
Tupo
Ila misa neddy bado hyu
huwajui nymbu? wale wanyama pori watembeaga wengiiii wakivuka mto hata kama wanaona wengine wanaliwa hawajiongezi yanavuka tu ni majinga!!!
usiniulize swali lingine plz teh
Twin mi hawa watu wameshanichosha aisee
mh Ngamchoka chokii
hahah unajuaje nakaribia 40 now