Over 1.2 million jobs created

Wakati wa bajeti alisema kuwa serikali ilikuwa imetengeneza ajira laki nne unusu tu. Ina maana kati ya Julai mwaka jana na sasa zimetengenezwa ajira takriban laki nane... najihisi niko nchi ya KUFIKIRIKA

Hili swali zuri kwa Mhe. Waziri. Wahenga walisema "ukiwa mwongo uwe mzuri wa kumbukumbu".
 
Ndio inaweza kuwa hiyo figure ni kweli but wengi waliopata hiyo ajira ni
Walimu wa CRUSH PROGRAM-miezi 3
Askari POLISI
Askari JWTZ & JKT
Askari MAGEREZA

Mkuu Bello, Waziri amesema walipata kazi ni kwenye sekta binafsi ni 1,233,747 sawa na 97% siyo upolisi wala uwalimi Mkuu! watu millioni 1 si mchezo mwanangu.
 
Mkuu Bello, Waziri amesema walipata kazi ni kwenye sekta binafsi ni 1,233,747 sawa na 97% siyo upolisi wala uwalimi Mkuu! watu millioni 1 si mchezo mwanangu.

wakati mwingine..mawaziri wa kikwete na yeye mwenyewe wanatia kinyaa kujaribu kutuambia mafanikio ambayo hayaonekani na ni ya kufikirika....mimi ningefurahi sana kama jk kwenye hii kampeni ya kuuelezea mafanikio yake angeweka zile taarifa za kweli tu..kuliko hesabu za kupika......sasa angalia anasema asilimia 97% sekta binafsi...kwani angesema wamepata ajira laki 5..ambapo inakaribia na ukweli...na miongoni mwao askari na walimu laki moja ...ingekuwaje.............

mahesabu ya kapuya ni kaama ya yule mama waziri wa utumishi aliyesema ameokoa bilioni 3 za watumishi hewa bila justifications...

mbona wakati wa utawala wa mkapa hakuwa na haja ya kuandika mafanikio kwenye magazeti kama haya ya kupapasa.......aaache kupiga makelele ,aache watu waone wenyewe!
 
wakati mwingine..mawaziri wa kikwete na yeye mwenyewe wanatia kinyaa kujaribu kutuambia mafanikio ambayo hayaonekani na ni ya kufikirika....mimi ningefurahi sana kama jk kwenye hii kampeni ya kuuelezea mafanikio yake angeweka zile taarifa za kweli tu..kuliko hesabu za kupika......sasa angalia anasema asilimia 97% sekta binafsi...kwani angesema wamepata ajira laki 5..ambapo inakaribia na ukweli...na miongoni mwao askari na walimu laki moja ...ingekuwaje.............

mahesabu ya kapuya ni kaama ya yule mama waziri wa utumishi aliyesema ameokoa bilioni 3 za watumishi hewa bila justifications...

mbona wakati wa utawala wa mkapa hakuwa na haja ya kuandika mafanikio kwenye magazeti kama haya ya kupapasa.......aaache kupiga makelele ,aache watu waone wenyewe!

Inauma sana, hata Katibu Mkuu wa hiyo Wizara ameridhia hizo takwimu, kwanza wamezipata vipi?. Tunajua idara ya takwimu ipo weak sana, sasa wao wamepataje idadi ya wajiriwa binafsi?. Ndiyo maana inaitwa Serikali ya kisanii.
 
There are cookbooks and cooked books. Kapuya's books must have been in the kitchen a very long time! I suggest that the only jobs that his ministry has managed to create are those within the ministry itself!
 
Mkuu Bello, Waziri amesema walipata kazi ni kwenye sekta binafsi ni 1,233,747 sawa na 97% siyo upolisi wala uwalimi Mkuu! watu millioni 1 si mchezo mwanangu.

Ataje hizo sekta binafsi
 
Hizi namba hamkutajiwa ninyi wasomi...hizi wametajiwa Watanzania walioko vijijini ambao sasa hivi wanajisema.."iwapo kwa miaka 3 tu serikali imetengeze ajira milioni 1.2 basi mwakani lazima mwanangu pale mjini naye apate kazi...itakuwa vizuri nimpigie kura JK tena, asije akaja mwingine akaharibu kabisa."

Kalagabaho...Kapuya na Uprofesor wake mnadhani hajui analofanya!!
 
Pamoja na uchumi wa dunia kuyumba na kuziathiri nchi mbali mbali duniani ikiwemo Tanzania, lakini bado Tanzania 'itacreate 2 million jobs' (2005-2010). Hii serikali kwa usanii!!!!

Saturday Feb 21, 2009

2 million jobs now on the cards

BETTY BHOKE, 21st February 2009 @ 10:36

The government has revised its plan to create one million jobs by 2010 and now says it will create two million jobs on target. The Deputy Minister for Labour, Employment and Youth Development, Dr Makongoro Mahanga told the 'Sunday News' yesterday that the revised target followed successful attainment of the first target.

He said the government had in fact surpassed its target by creating 1.2 million jobs in the past three years (2005-2008) – and that it was now in position to create another 800,000 jobs during the remaining two years. “By simple mathematics, we’re able to create 400,000 jobs per year, therefore we’ll create 800,000 jobs in the remaining two years,” Dr Mahanga said.

According to Mr Mahanga, the government broke its own record by creating some 1,271,000 jobs over the past three years. During the 2005 general election campaigns, the ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) promised to create one million jobs by 2010 when another general election would be held. The promise is also enshrined in the party’s 2005 Election Manifesto.

The deputy minister said the main beneficiaries would be youths and that most jobs would be created through empowerment funds, boosting of entrepreneurial groups, more loans to SACCOS and employment of graduates especially in the health and education sectors. He said that more emphasis would be on SACCOS and entrepreneurial groups which had proved successful and good sources of new jobs.

However, Dr Mahanga added that the private sector had been the major employer in the past few years and that the government would continue to create a conducive environment for the sector to prosper.
 
Back
Top Bottom