Outlook ni Email pia Iko under Microsoft wapo live,Hotmail na outlookoutlook ndo nini na inafaida gani kulingana na email ya kawaida
Yangu ipo poa.Kwanini inatokea wakati outlook inashindwa kutuma mail na the same mail inaenda kwa Gmail...yaani unakuta outlook inakuambia mail undelivarable!
Achana nao hao mi nilikuwa natumia outlook ila sasa mpka juzi email yangu imebuma na kila nikitaka kuirecover nashindwa na ni long process