Outing kwa wanandoa.

Jamaa analazimishwa na wife atumie huo mtandao kwa hiyo anaomba ushauri

Hahaha! Lol! Huyo jamaa kweli hamnazo! Analazimishwa afu anakataa? Hajaelewa mamaa anamaanisha nini? Kashaliwa huyo! Mwambie jamaa astuke.
 
Hivi Semenya anaweza kumtoa ZD kwenye himaya wakati makomandoo Carmel, FL1, Nyamayao, Kaizer, Masanilo, Fidel,G_P wapo gado? Usisahau we na sisy mtakuwa high table mnalishana makeki na mashampeni aina ya taska!

Kwa kuwa unanipenda utanilinda.Nawaaminia hao wote uliwataja lakini zaidi i feel safe with you.Iam proud of you my dia!You are my baunsa and my Hero! nmwaaaaa! nmwaaaa!
 
Wapwa kuna hot mada kule kwenye mambo ya kikubwa mwanamke bila kupigwa O hakieleweki haya sasa akina Nyamayao mnao pinga kujiexpress msaidieni jamani
I am sorry, mimi kule huwa siingiii kabisa, its abormination oooh! na kwenye hilo sitaweza kuchangia, mmh naogopa mie mambo hayo aku!
 
Du mwenzangu, huyu semenya huyu ataleta tabu huyu. sina taarifa na hiki kikao, labda ZD atakuwa na taarifa kutoka kwa switihati wake xpin.
Btw, how are you today? feeling better?

mama leo naendelea vizuri ila si sana afya hii jamani teh teh lakini usihofu nina dose hapa nitakuhabarisha nikiwa fit
 
Hahaha! Lol! Huyo jamaa kweli hamnazo! Analazimishwa afu anakataa? Hajaelewa mamaa anamaanisha nini? Kashaliwa huyo! Mwambie jamaa astuke.
huyo dada kiboko jamani du. jamaa washavuka fensi jamaa hana taarifa. ila kuna wanawake magaidi huku duniani kama osama vile.
 
Kwa kuwa unanipenda utanilinda.Nawaaminia hao wote uliwataja lakini zaidi i feel safe with you.Iam proud of you my dia!You are my baunsa and my Hero! nmwaaaaa! nmwaaaa!

Baeleze! Baeleze mamaaa! Hapo hujatoka out of point kabisaaaaaaaa! Yaa! Hapa umepata mlinzi mama! Usijali.
 
mama leo naendelea vizuri ila si sana afya hii jamani teh teh lakini usihofu nina dose hapa nitakuhabarisha nikiwa fit

Au weka wazi kabisa, labda mlipitiwa na tarehe mambo yakajibu. Hahaha! Natabiri: Katoto katakuwa kabinti kazuri kama kale kangu.
 
Du mwenzangu, huyu semenya huyu ataleta tabu huyu. sina taarifa na hiki kikao, labda ZD atakuwa na taarifa kutoka kwa switihati wake xpin.
Btw, how are you today? feeling better?

Carmel & FL1,kikao hiki cha wapwa peke yao sisi haturuhusiwi ,hata hivi nashauri semenya asiwepo.Kikao cha wote ni kile cha kumpongeza Geoff na mai waifu wake!
 
Au weka wazi kabisa, labda mlipitiwa na tarehe mambo yakajibu. Hahaha! Natabiri: Katoto katakuwa kabinti kazuri kama kale kangu.
si nilisema mimi jana, xpin atakuja kusema hapa baba kashafanya mambo. i warned you.
 
Carmel & FL1,kikao hiki cha wapwa peke yao sisi haturuhusiwi ,hata hivi nashauri semenya asiwepo.Kikao cha wote ni kile cha kumpongeza Geoff na mai waifu wake!

I GEOFF,HEREBY DECLARE THAT SEMENYA IS TOTALLY EXCLUDED IN THIS MEETING!i dn't want to see SEMENYA kwenye kikao...!(lakini nitamjuaje?anaweza akaja akasema ''mimi naitwa fl1 kumbe ni semenya:D)...sijui kuwe na zoezi la kukaguliwa?
 
Mbona Fidel huna imani hivyo. wewe hata ukiambiwa unapendwa unaweza usiamini.

Mi bana wanawake iwa siwaamini kabisaaaaaaaa maana rafiki yangu alinipora n'chumba hivi hivi eti kwa vile rafiki yangu half cast aka mzungu pori nyie wanawake mnapenda sana wanaume weupe sijui wana radha tofauti?
 
I GEOFF,HEREBY DECLARE THAT SEMENYA IS TOTALLY EXCLUDED IN THIS MEETING!i dn't want to see SEMENYA kwenye kikao...!(lakini nitamjuaje?anaweza akaja akasema ''mimi naitwa fl1 kumbe ni semenya:D)...sijui kuwe na zoezi la kukaguliwa?
angalia Geof mtajakosana na Fidel bure maana mwenzio kashaanza kujipanga mashambulizi kwa semenya, unawezakuta kashanunua ile waliomshauri xpin kule inaitwaje tena....eeh ultra thin sijui.
 
he Nyamayao afadhali umefika. mzima lakini?


mzima kipenzi nawackiliza hawa wakaka humu na stori zao wanazoenda kuongelea bar, mie mwenzenu kwa kweli najotokeaga tu nikirudi kanuna lakini ndio nimetoka hivyo jpili tupo hapo home nikiona anabadili tshirt na mie nabadili jeans, namwambia nakucndikiza uendako, anajua akinikatalia nitatoka tu mwenyewe anajikubalia tu safari inaanza.
 
Mi bana wanawake iwa siwaamini kabisaaaaaaaa maana rafiki yangu alinipora n'chumba hivi hivi eti kwa vile rafiki yangu half cast aka mzungu pori nyie wanawake mnapenda sana wanaume weupe sijui wana radha tofauti?[/QUOTE]
may be, who knows bana
 
Back
Top Bottom