kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
dah,halafu sasha ameshakuwa sista duu wa nguvu,sijui malia yukoje kama sasha kawa hivi.kwa malia najua mabrazameni wengi wa kinegro watakuwa wanapiga sana misele ukizingatia "ashavunja ungo".
![]()
![]()
Hivi wale jamaa wanaotuchafulia miji na matangazo yao, "Dawa ya kumvuta Mpenzi aliyembali" ukiwaambia wakupe dawa ya kumvuta Sasha Obama! Kwi kwi kwii!! Khe khe khee! Atakutoa mbio lazima!
kajaribu mkuu huwezi jua zali la mentali au kwenye maombi kwa kina gwajima!
dah,halafu sasha ameshakuwa sista duu wa nguvu,sijui malia yukoje kama sasha kawa hivi.kwa malia najua mabrazameni wengi wa kinegro watakuwa wanapiga sana misele ukizingatia "ashavunja ungo".
![]()
![]()