GE2025 Othman Masoud hana uwezo kabisa mbele ya Dkt Hussein Mwinyi, Bora Babu Duni

GE2025 Othman Masoud hana uwezo kabisa mbele ya Dkt Hussein Mwinyi, Bora Babu Duni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
473
Reaction score
1,682
Othman ni mjanja mjanja tu hana uwezo kabisa wa kuwa Rais, hakutakuwa na mpinzani Zanzibar wa kumfikia hata robo Maalim Seif, kiongozi Peker aliekuwa na uwezo na sifa za kuwa kiongozi ni Babu Duni au Juma Duni Haji.

Othman hana mvuto mbele ya wananchi, hajui kujenga hoja, amelazimishwa tu kuwa kiongozi, ukimsikiliza hujui anaongea nini, hajui zanzibar imetoka wap, ilikuwa wap na wap inakwenda

Wa Zanzibar wana ushabiki tu lakini wajue Rais hapatikan kwa ushabiki

Bw Mbeto ameongea vzr sana, kumchagua Othman ni kuwatia umaskini zaidi wazanzibar

Dkt Hussein Ali Mwinyi anatosha.
 
Mods naomb za bold heading za Nyuzi Mbalimbali za jamii Forum, ziko na mwonekano mdogo haivutii , inasumbua mtu ku chagua Uzi wa kusoma
 
Yaani heading na content ink ni sawasawa mna shida Gani mods??? Ongeza ukubwa wa heading ,bold please
 

Attachments

  • Screenshot_20250902-134844.jpg
    Screenshot_20250902-134844.jpg
    105.6 KB · Views: 14
huyo jamaa siasa ilikuwa upepo wa maalim seif huyo kazi yake kuandika maneno ya kisheria siasa aachie wengine
 
Back
Top Bottom