Otea nini kilimpata huyu Baunsa

Otea nini kilimpata huyu Baunsa

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
Baunsa mmoja aliyekuwa kakaa kaunta ya baa fulani akinyanyasa watu na misuli yake, aliondoka kwa furaha kwenda chooni, lakini akarudi amekasirika jasho linamtoka;
BAUNSA: Baa hii washenzi wote
KAUNTA: Kwani vipi mzee? Tumekukosea nini mbona unatuonea?
BAUNSA: Nimeenda chooni mwenzenu mmoja kaja na kuniwekea pisto kichwani akadai nikikataa asinibake ananilipua na risasi ya kichwa
KAUNTA: He pole wahuni hao, sasa imekuwaje?
BAUNSA: Imekuwaje nini? Maswali gani hayo? Kwani umesikia mlio wa bunduki. Washenzi wote baa hii na sirudi tena kunywa humu.
 
Da!!!!!! Hiyo nayo ni kali. Huyo baunsa alibanjuliwa mtigo wake kwa kishindo.
 
Uhuni wake tu huyo bausa alikuwa anataka kubajuliwa muda mrefu, ndio maana alikuwa anasumbua watu hovyo.
 
Alitishiwa na bastola ya watoto ya kuchezea!Tena inajazwa maji!
 
Baunsa mmoja aliyekuwa kakaa kaunta ya baa fulani akinyanyasa watu na misuli yake, aliondoka kwa furaha kwenda chooni, lakini akarudi amekasirika jasho linamtoka;
BAUNSA: Baa hii washenzi wote
KAUNTA: Kwani vipi mzee? Tumekukosea nini mbona unatuonea?
BAUNSA: Nimeenda chooni mwenzenu mmoja kaja na kuniwekea pisto kichwani akadai nikikataa asinibake ananilipua na risasi ya kichwa
KAUNTA: He pole wahuni hao, sasa imekuwaje?
BAUNSA: Imekuwaje nini? Maswali gani hayo? Kwani umesikia mlio wa bunduki. Washenzi wote baa hii na sirudi tena kunywa humu.

Huyo baunsa mavi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom