Sisi pia tuko bize kutafuta wanadada huko nje.Mademu wa kenya wanatembeza kipapa balaa...
Hivi huko kenya hakuna wanaume??
Sisi pia tuko bize kutafuta wanadada huko nje.
Preach bro, preach!Mkenya lazima awe mstari wa mbele kueneza kiswahili sababu wao sawa la kutafuta maisha mbele sio ajabu sisi passport kupata lazima uwe na safar nje ya africa au baadhi ya nchi africa bei juu kama mradi kwa taasisi bado ujakutana na ndugu analia eti usije ulaya maisha magumu lakin ye anajenga magorofa alafu tunaona kiswahili kama chetu acha wakenya wasonge kwa mataifa ya watu roho mbaya zetu
Wakenya wanaume ndio hatari kushinda wanadada wetu. Tuna Mbunge aliyeaga juzi na alioa mzungu. Baba ya Obama Mkenya kamili alioa mzungu ndio akazaa Barak Obama. Ni wengi tu siwezi taja wote humu. Mimi mwenyewe japo nimerudi nyumbani juzi nimekula wazungu sanaAhaaa nyie mnambwela sana,mnakwama wapi?
Pole mkuu Kwa mnayoyapitia.Mkenya lazima awe mstari wa mbele kueneza kiswahili sababu wao sawa la kutafuta maisha mbele sio ajabu sisi passport kupata lazima uwe na safar nje ya africa au baadhi ya nchi africa bei juu kama mradi kwa taasisi bado ujakutana na ndugu analia eti usije ulaya maisha magumu lakin ye anajenga magorofa alafu tunaona kiswahili kama chetu acha wakenya wasonge kwa mataifa ya watu roho mbaya zetu
Kwa kuwa mlidanganywa kwamba lugha ni yenu.. Kweli nyie waDANGANYIKAAsanteni sana kwa kutukuzia lugha yetu adhimu ya kiswahili,tunajivunia sana kuwa ni Taifa Teule la Asili kabisa ya Lugha ya Kiswahili Duniani.
Viva Viva TANZANIAAAAAAAAAAA
Viva AFRICAAAAAAAA
Not to worry, we'll tell them your story our way.Continue sleeping. Mlambeez.. myonyeez ..Asanteni sana kwa kutukuzia lugha yetu adhimu ya kiswahili,tunajivunia sana kuwa ni Taifa Teule la Asili kabisa ya Lugha ya Kiswahili Duniani.
Viva Viva TANZANIAAAAAAAAAAA
Viva AFRICAAAAAAAA
Kwa kuwa mlidanganywa kwamba lugha ni yenu.. Kweli nyie waDANGANYIKA
Not to worry, we'll tell them your story our way.Continue sleeping. Mlambeez.. myonyeez ..
Muda sio mlefu hutawaona hapa na zire hadith zao lefu lefu, mala hiri, mala rire. Reo razima hutakomeshwa!Minyang'au wachaneni na rugha yetu. Kiswahiri ni rugha ya Tanzania na dunia yote inaritambua hiro.