Oscar winning actor Jamie Fox gives shout out to Kenyans in Swahili

Dude has been dating a Kenyan that worked for Abu dhabi airways chini ya maji around 2012, dont know how that went
 
Mademu wa kenya wanatembeza kipapa balaa...

Hivi huko kenya hakuna wanaume??
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Mkenya lazima awe mstari wa mbele kueneza kiswahili sababu wao sawa la kutafuta maisha mbele sio ajabu sisi passport kupata lazima uwe na safar nje ya africa au baadhi ya nchi africa bei juu kama mradi kwa taasisi bado ujakutana na ndugu analia eti usije ulaya maisha magumu lakin ye anajenga magorofa alafu tunaona kiswahili kama chetu acha wakenya wasonge kwa mataifa ya watu roho mbaya zetu
 
Mkenya lazima awe mstari wa mbele kueneza kiswahili sababu wao sawa la kutafuta maisha mbele sio ajabu sisi passport kupata lazima uwe na safar nje ya africa au baadhi ya nchi africa bei juu kama mradi kwa taasisi bado ujakutana na ndugu analia eti usije ulaya maisha magumu lakin ye anajenga magorofa alafu tunaona kiswahili kama chetu acha wakenya wasonge kwa mataifa ya watu roho mbaya zetu
Preach bro, preach! :cool:
 
Ahaaa nyie mnambwela sana,mnakwama wapi?
Wakenya wanaume ndio hatari kushinda wanadada wetu. Tuna Mbunge aliyeaga juzi na alioa mzungu. Baba ya Obama Mkenya kamili alioa mzungu ndio akazaa Barak Obama. Ni wengi tu siwezi taja wote humu. Mimi mwenyewe japo nimerudi nyumbani juzi nimekula wazungu sana
 
Mkenya lazima awe mstari wa mbele kueneza kiswahili sababu wao sawa la kutafuta maisha mbele sio ajabu sisi passport kupata lazima uwe na safar nje ya africa au baadhi ya nchi africa bei juu kama mradi kwa taasisi bado ujakutana na ndugu analia eti usije ulaya maisha magumu lakin ye anajenga magorofa alafu tunaona kiswahili kama chetu acha wakenya wasonge kwa mataifa ya watu roho mbaya zetu
Pole mkuu Kwa mnayoyapitia.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Asanteni sana kwa kutukuzia lugha yetu adhimu ya kiswahili,tunajivunia sana kuwa ni Taifa Teule la Asili kabisa ya Lugha ya Kiswahili Duniani.

Viva Viva TANZANIAAAAAAAAAAA
Viva AFRICAAAAAAAA
 
Asanteni sana kwa kutukuzia lugha yetu adhimu ya kiswahili,tunajivunia sana kuwa ni Taifa Teule la Asili kabisa ya Lugha ya Kiswahili Duniani.
Viva Viva TANZANIAAAAAAAAAAA
Viva AFRICAAAAAAAA
Not to worry, we'll tell them your story our way.Continue sleeping. Mlambeez.. myonyeez ..
 
Back
Top Bottom