ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,135
- 2,976
Habari
Jana usiku nlifuatilia mpambano kati ya emiliano patrick na Osama el-labi,kwa hakika nimevutiwa sana n kipaji cha huyu bondia chipukizi.Osama ametuonesha sisi wapenzi wa ndondi kuwa atakuja kuwa moja ya mabondia wazuri hapa nchini.
Wito wangu ni kwa wadau wa ndondi kuweza kumpatia makocha wazuri ambao wanaweza kumfunda na kumsahihisha makosa madogo madogo afanyayo ndani ya ulingo wa masumbwi.
Jana usiku nlifuatilia mpambano kati ya emiliano patrick na Osama el-labi,kwa hakika nimevutiwa sana n kipaji cha huyu bondia chipukizi.Osama ametuonesha sisi wapenzi wa ndondi kuwa atakuja kuwa moja ya mabondia wazuri hapa nchini.
Wito wangu ni kwa wadau wa ndondi kuweza kumpatia makocha wazuri ambao wanaweza kumfunda na kumsahihisha makosa madogo madogo afanyayo ndani ya ulingo wa masumbwi.