Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,405
Hivi nyeti unazijuwa wewe?Ujinga ni kujifanya unajua wakati hujui. Kaa kimya. Kama sio mchambuzi wa masuala nyeti.
Hivi nyeti unazijuwa wewe?Ujinga ni kujifanya unajua wakati hujui. Kaa kimya. Kama sio mchambuzi wa masuala nyeti.
Hivi nyeti unazijuwa wewe?
Kama ni kweli basi ata ISIS wanalipwa na obama
Osama is alive. Sept 11 was staged. Obama funds the ISIS.
ukweli mchungu.
Sio Osama tu, Ghadaffi yupo hai, Sokoine yupo hai, Dr Ouko yupo hai na hata Tupac yupo hai pia, ujinga ni maamuzi tu yako binafsi ukiamuwa kujiweka kwenye kundi la wajinga na mazuzu wala haina gharama.
Wanavyodai walimuua osama baada ya kumkuta anaishi karibu na kambi ya kijeshi ya pakistan,means pakistani walikua wanamhifadhi,hakua hata na ulinzi kwamaana alijua yuko katika eneo la usalama sana,cha kujiuliza kwanini marekani hawakuiadhibu pakstan kwa kumuhifadhi bin laden?.
Zile purukushani za kumuu bin laden zilichukua karibu saa nzima na kambi ya makomandoo wa pakistan ilikua umbali mdogo sana toka hapo lakini hakuna wanajeshi walirespond kuja kuona kinachotokea.
Conclusion ni kua issue yote ilikua stage managed
ni mwenyewe juzi nilikuwa naye pale kariakoo.anashangaa sana inakuwaje baadhi ya wanaccm hawaungi mkono juhudi za rais magufuli.
ni mwenyewe juzi nilikuwa naye pale kariakoo.anashangaa sana inakuwaje baadhi ya wanaccm hawaungi mkono juhudi za rais magufuli.
Osama yu hai. Zile ghiriba za kitoto za kuzikwa baharini ni Ujinga tu wenye levo za master's
Uliuona mwili wake?Osama bin Laden is dead and buried. That is it. People can say anything for any purpose but truth is objective and will not depend on any one's wishes or desires. The truth is Osama is dead.