oryx news!!

oryx news!!

mwambadog

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
1,736
Reaction score
1,446
niaje wakuu!
Hivi hawa oryx wamesha ita watu au bado? Mwenye taarifa tupeane
 
Post gani??

Tatizo kuna watu humu ndani wanapenda ubinafsi, wanaulizia kuitwa kwenye interview tu ila kuleta tangazo la kazi wakati alipoliona hakuleta! hapo ndipo inakua kaazi kwelikweli.
 
Tatizo kuna watu humu ndani wanapenda ubinafsi, wanaulizia kuitwa kwenye interview tu ila kuleta tangazo la kazi wakati alipoliona hakuleta! hapo ndipo inakua kaazi kwelikweli.

Acha lawama wewe toa jibu kama huna piga kimya .
 
co apige chini anayoyasema ni ya ukwel wakati mna2ma application mc2shirikishe ila kuitwa kwenye interview ndo m2ulize ok ha2jackia.
 
Msitegemee kwamba lazima apost totolucky, Deo Benjamin au Ikumbilo.

Yeyote anaeona nafasi za kazi aweke tu hapa! !

mkuu hii job ilitangazwa sana daily news, zoom na sehem nyingine kwa mtu anaetafuta job lazma alione tu.
Kutokuweka hapa sio sababu ya kulalamika mkuu. Wanasema asiye kujua hakusamini so mtu ukipata chema huwaza kushea na wakalibu yako. Kwa wew ni ngum kuhic unatatizo sababu sijui kam unanjaa. But next time ntajitaidi pindi nipatapo vacancy. Tusilalamike muda mwengne tukubar matokeo na yatupe changamoto kufikia lengo letu
 
Last edited by a moderator:
mkuu hii job ilitangazwa sana daily news, zoom na sehem nyingine kwa mtu anaetafuta job lazma alione tu.
Kutokuweka hapa sio sababu ya kulalamika mkuu. Wanasema asiye kujua hakusamini so mtu ukipata chema huwaza kushea na wakalibu yako. Kwa wew ni ngum kuhic unatatizo sababu sijui kam unanjaa. But next time ntajitaidi pindi nipatapo vacancy. Tusilalamike muda mwengne tukubar matokeo na yatupe changamoto kufikia lengo letu



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ila tukumbukane bana endapo unaona tangazo la kazi basi mshirikishe na mwenzio!! Pia nimekucourt kwenye neno kubar badala ya kubali!! Sorry for that nataka nikurekebishe tu

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
mkuu hii job ilitangazwa sana daily news, zoom na sehem nyingine kwa mtu anaetafuta job lazma alione tu.
Kutokuweka hapa sio sababu ya kulalamika mkuu. Wanasema asiye kujua hakusamini so mtu ukipata chema huwaza kushea na wakalibu yako. Kwa wew ni ngum kuhic unatatizo sababu sijui kam unanjaa. But next time ntajitaidi pindi nipatapo vacancy. Tusilalamike muda mwengne tukubar matokeo na yatupe changamoto kufikia lengo letu

Ilikua post gani??
 
unaambiwa ukweli unaleta nyodo zako nyambaf******* wapigie uwaulize au nenda mwenyewe physically mbinafsi mkubwa we huna cfa ya kua mwana jf.
 
Aaaaaaah wapi! Kuna mtu nilimfanyia mpango kwa HR mmoja hivi, nikampa email atume cv na veti! Basi kujifanya mwema sanaaa kawapa na wezie afu vipanga zaidi yake na veti vizuri haswaaa!

HR akawapambanisha kwenye interview likachemka bwanaaaaa! Akanifata kulia lia nikamwambia ukomeeee! Kiherehere chako kimekuponza! Aliekutuma ujiongezee ushindani nani?

Ungepeleka mwenyewe ioneka kuna under application uajiriwe na ubovu wako! Mpaka leo anatafuta kazi.

Kwenye kazi hakuna urafiki, ni kama vitani! Winner takes it all!!!!!!!!!!
 
Aaaaaaah wapi! Kuna mtu nilimfanyia mpango kwa HR mmoja hivi, nikampa email atume cv na veti! Basi kujifanya mwema sanaaa kawapa na wezie afu vipanga zaidi yake na veti vizuri haswaaa!

HR akawapambanisha kwenye interview likachemka bwanaaaaa! Akanifata kulia lia nikamwambia ukomeeee! Kiherehere chako kimekuponza! Aliekutuma ujiongezee ushindani nani?

Ungepeleka mwenyewe ioneka kuna under application uajiriwe na ubovu wako! Mpaka leo anatafuta kazi.

Kwenye kazi hakuna urafiki, ni kama vitani! Winner takes it all!!!!!!!!!!

Mmh hii nayo kali, hivi unadhani huyo HR alikuwa na chanzo kimoja tu cha wanaotafta kazi ambacho ni lara 1 na mtu wake aliepewa email address?
 
mkuu hii job ilitangazwa sana daily news, zoom na sehem nyingine kwa mtu anaetafuta job lazma alione tu.
Kutokuweka hapa sio sababu ya kulalamika mkuu. Wanasema asiye kujua hakusamini so mtu ukipata chema huwaza kushea na wakalibu yako. Kwa wew ni ngum kuhic unatatizo sababu sijui kam unanjaa. But next time ntajitaidi pindi nipatapo vacancy. Tusilalamike muda mwengne tukubar matokeo na yatupe changamoto kufikia lengo letu

nawewe kujua kama watu wameitwa kwenye interview sio lazima iwe hapa, ungeuliza ulikokuta tangazo kama sio kuwapigia sim wahusika faaala wewe
 
Back
Top Bottom