Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,207
- 1,457
TWO PROUD sio TOO PROUDNi Sugu jina lake la mwanzo kabisa la kisanii.
TWO PROUD sio TOO PROUDNi Sugu jina lake la mwanzo kabisa la kisanii.
Kweli ulichoandika. Soggy anao huo wimbo "nikisema love love you too" si ukumbuki jina ila nakumbuka hayo maneno yakiimbwa na Soggy.Najua nnachokiandika mkuu, sijabahatisha.
Dully ali sample.
Kwa hiyo hiyo verse ndio ina thamani kubwa kuliko career nzima ya Sugu!?Unamkosea sana Mh DC wa pili umeshaskiliza verse ya Nikki wa pili kwenye ngoma niaje ni vipi
Msanii wako mkali wa sasa ambaye unadhani angeibukia miaka hiyo ya 2000 angetoboa ni yupi!?Sugu ndiye anaongoza kwa wachovu ambao wapo overrated kwenye hiyo orodha yako.
Angeibukia zama hizi hakuna ambaye angemtilia maanani.
"I second this" huku unadai wenye hit moja au mbili hawana kipaji. Sasa unakataa nini na unakubali nini!?I second this ,
Samahani! Kipaji ni nini!? Na wewe kutomuelewa msanii, ndio ina maana hana kipaji!? Binafsi huwa simuelewi Barnaba, lakini hiyo haiwezi kunifanya niseme hana kipaji cha muziki.Ni kweli Jaffarai hana kipaji, sikuwahi kumuelewa
Chege ana hit song gani hivi sasa!? Maana kuna kutoa wimbo na kutoa hit song. Nisaidie hiyo hit song ya Chege.Mh temba hauna uwezo wowote kimuziki ...aliotea zamani enz zile wasanii ni wachache
Kama ni msanii mkali atengeneze hit song sahv kama mwenzie chege
Haeleweki huyo jamaa anataka nini. Huyo Nature ameshatoa ngoma kadhaa lakini hakuna iliyo_hit miaka ya karibuni. Hapo jamaa atadai sijui naye hana kipaji.Ukisema habar ya Hitsong hata Juma Nature hawezi fanya hivyo, huna hoja mzee unapotezea watu muda.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Unahamisha magoli. Mara hawana kipaji, mara hit song , mara nyimbo zilibebwa na nini sijui. Ungefanya wewe basi ili sisi wengine tu_judge. Maana hata ukiulizwa kipaji ni nini, hauna unachojibu.Tajiri unakaza fuvu tuu , vitu vyepesi kama hivi havihitaji kutumia nguvu kubwa kivielewa
Hit song ni moja ya vigezo lakini pia nje ya hit song hao nliowataja ukiangalia nyimbo zao nyingi zilibebwa either na chorus au bit tuu
Actually wamebebana.Sijakosea ...hawana uwezo wowote
Mfano mh temba amebebwa na chege kwa kipind kirefu sana ..
Yule aliyeimba mule ndani sio Marehemu Mez B kweli!? Sauti yake inanijia, naamini ni yeye.Na kuna Ile Ngoma Yao inaitwa 50/50
Ukitaka chochote Nani na ninoo nani na ninoo
NI fifty fifty
Da Ila bongo fleva ilikua zamani
Aisee hiyo namba 4 uswahilini kwenye harusi moja wahuni wali_bang sana. 2004 hiyo kama sikosei. Mkono wa MJ nakumbuka huo.Ila we jamaa unachekesha Sana bou nako ana Ngoma yake moja inaitwa MBIO ZA VIJITI...
Siku ukifika Musoma mjini halafu useme Bou Nako Hana kipaji walahi nakuapia kichwa chako kitakatwa mchana kweupeeeeeeeeee wapewe zawadi sangara wa ziwa Victoria...
Huyo Dudubaya unayesema Hana kipaji huenda wewe ndo hujui nyimbo zake na balaa zilizofanya mwanzoni mwa miaka ya 2000...
Hivi ulibahatika kusikiliza hizi ngoma Kwanza..
1. Nakupenda mpenzi
2. Nimeondoka
3. Mashaka
4. Nakupenda tu
5. Manundu
Sugu hana kipaji mzeee Over.Kila nikitafuta sababu ya msingi ya jamaa kutokumuelewa Sugu siioni. Ila nachokihisi ni kuwa jamaa hajapenda kazi za Sugu. Sasa hapa ndipo linapokuja swala la kuendeshwa na hisia kwenye uhalisia. Tuvumiliane tu.
Msikilishe mikononi mwa polisi.Sasa Sugu wewe umeanza kumsikiliza juzi tu enzi za wananiita Sugu. Leo unatoa hukumu.
Jina la Kisanii alikua anaitwa Mr. II au Mr. 2 before hajaitwa Sugu alikua anaitwa Mr. II aka Sugu alipotoa 'wananiita Sugu' na Stala Thomas akafuta Mr. II akajiita Sugu km Sugu, sasa tafuta hio ngoma inaitwa "Wananiita Sugu" uisikilize ukimaliza rudi hapa Ila kabla haujarudi fanya paaaaap bonyeza dude moja linaitwa Mambo ya Fedha Sugu ft. Lady Jay Dee ukimaliza kusikiliza njoo hapa
We hujui kitu ni Too proud yan wakimaanisha jamaa ana majigambo mnoSio too ni two, halafu alipoanza kujiita Mr, hiyo proud iliondoka ikabaki Mr Two
I second thisSugu hana kipaji mzeee Over.
Mashairi yake ni mepesi, flow hovyo.
So hana kipaji cha ku rap?Sugu hana kipaji mzeee Over.
Mashairi yake ni mepesi, flow hovyo.
sasa nakupingaje na umeshaamua mkuu..? Baki na imani yako mkuu.Sugu hana kipaji mzeee Over.
Mashairi yake ni mepesi, flow hovyo.