Duh! Zimepungua almost 40% hii ni hatari1.1m mpka 1.3m colour A+
Duh! Zimepungua almost 40% hii ni hatari1.1m mpka 1.3m colour A+
Ndio mambo Yale ya sakata la bashite na wauzaji wa madawa. Eti unamtaja. then unamwambia aripoti wiki ijayo.Sasa unamtaja mtu, halafu unamwambia ameficha madini aje alipoti kwako, hayo madini si atayahamisha
Wao hawapendi njuruku? Chezea pesa wewe!Askari kanzu wapo kila kona
Dar es Salaam ndio makao makuu ya wale jamaa waliomteka Mo, Ben Saanane, Azory n.k......Kwanini wakikamatwa wanapelekwa DSM?
Ujinga mwingine bwana!!!! Ni wa kiwango cha lami!!Sasa unamtaja mtu, halafu unamwambia ameficha madini aje alipoti kwako, hayo madini si atayahamisha