Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
Ni.Magazeti ya watoto KUNYEA MAVIKatika awamu hii ya tano kumejitokeza viherehere wasiokuwa na taluma na wala wasioheshimu taaluma ya habari na kufungua vijigazeti vyenye propaganda za kijinga. Pamoja na ukweli kuwa hata zile media zilizokuwa zinaheshimika siku za nyuma nazo kujigeuza kuwa za ovyoovyo siku hizi, lakini vijigazeti vifuatavyo ni vya kufungia nyama na wala watanzania msihangaike na upuuzi unaoandikwa humo.
1. Tanzanite ( Msiba)
2. Fahari yetu ( Msiba)
3. Jamvi la Habari ( Habibu Mchange)
4. La jiji ( Ngasa/ Dr. Abass)
5. The Echo ( Kiingereza cha ovyo)
6. The Observer ( kiingereza cha ovyo)
7. Tazama Tanzania
Hiyo ni orodha ya msingi kabisa wa vijigazeti uchwara vya kupuuza ambavyo kazi yake kubwa chini ya usimamizi wa Dr. Abass ni kuwaondoa wa tanzania kwenye Agenda za msingi, kutukana watu na kulet chuki kwenye jamii.