Oral Interview Uhamiaji

Oral Interview Uhamiaji

MANSLEAZY

Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
53
Reaction score
24
Habarini wadau,Mimi ni mmoja kati ya watu waliofanya interview leo pale ukonga moja kati ya vitu walivosema twende navyo ni picha 2 lakini cha kushangaza hawakuzihitaji hebu nisaidieni wale waliofanya leo je kuna ambao waliuliziwa picha?
 
Habarini wadau,Mimi ni mmoja kati ya watu waliofanya interview leo pale ukonga moja kati ya vitu walivosema twende navyo ni picha 2 lakini cha kushangaza hawakuzihitaji hebu nisaidieni wale waliofanya leo je kuna ambao waliuliziwa picha?

Jaribu kuwauliza walengwa ndugu kwani ni binadamu huwenda wakawa wamepitiwa labda. Vp maswal yao yalikuwa kama mangap? Ya kawaida sana? Na ulichukua kama muda gan kuhojiwa ndg?
 
Maybe maswali yalikuwa saba off course average questions it takes approximately 10 minutes
 
Habarini wadau,Mimi ni
mmoja kati ya watu waliofanya interview leo pale ukonga moja kati ya
vitu walivosema twende navyo ni picha 2 lakini cha kushangaza
hawakuzihitaji hebu nisaidieni wale waliofanya leo je kuna ambao
waliuliziwa picha?

mara nyingi wanaangalia vyeti tu picha huwa hawaangalii coz hata pale mwl nyerere ilikuwa hivyo
 
Habarini wadau,Mimi ni mmoja kati ya watu waliofanya interview leo pale ukonga moja kati ya vitu walivosema twende navyo ni picha 2 lakini cha kushangaza hawakuzihitaji hebu nisaidieni wale waliofanya leo je kuna ambao waliuliziwa picha?

Unaweza tupa swali mojawapo walilokuuliza mkuu?
 
Back
Top Bottom