Asante mkuu Chwechinyong!Ptz vuta subira kwani hawa jamaa sometimes huchukuwa mda mrefu sana kuita watu toka mda mliyofanyiwa usaili mpaka kuitwa kuanza kazi. Nina experience ya matukio kama hayo toka kwa jamaa zangu but mwisho wa siku from no where walipigiwa simu wakaripoti makazini.