SOKETI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 206
- 50
Habari yako mwana JF,
Chuo kikuu cha Dodoma wameanza kuita watu kwenye oral interview kwa kuwapigia simu watu walio kuwa shortlisted. Yaani waliofanya vizuri kwenye Written Interview.
Interview hiyo kufanyika Mapema mwezi wa Tatu.
Kwa yeyote aliyepigiwa simu ama kupata Taarifa Hizo za ni siku gani/tarehe na watu wa position gani atujulishe.
Mda mwema.
Chuo kikuu cha Dodoma wameanza kuita watu kwenye oral interview kwa kuwapigia simu watu walio kuwa shortlisted. Yaani waliofanya vizuri kwenye Written Interview.
Interview hiyo kufanyika Mapema mwezi wa Tatu.
Kwa yeyote aliyepigiwa simu ama kupata Taarifa Hizo za ni siku gani/tarehe na watu wa position gani atujulishe.
Mda mwema.