Oral Interview, Dodoma University.

Oral Interview, Dodoma University.

SOKETI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2010
Posts
206
Reaction score
50
Habari yako mwana JF,

Chuo kikuu cha Dodoma wameanza kuita watu kwenye oral interview kwa kuwapigia simu watu walio kuwa shortlisted. Yaani waliofanya vizuri kwenye Written Interview.
Interview hiyo kufanyika Mapema mwezi wa Tatu.
Kwa yeyote aliyepigiwa simu ama kupata Taarifa Hizo za ni siku gani/tarehe na watu wa position gani atujulishe.

Mda mwema.
 
Mi wamenipigia sasa hivi ni upande wa assistant accountant interview itafanyika tarehe 8/3/2013 saa mbili na nusu asubuhi,kama kawaida vyeti vyote original vinahitajika.
 
Hivi hawa jamaa wa Udom wanaita kwenye usail mbona sijasikia kuitwa kwa kazi, mimi nimefanya usail mwaka jana tar 06/ Dec hadi leo hakuna aliyeitwa sijui kuna nini aisee?
 
Habari yako mwana JF,

Chuo kikuu cha Dodoma wameanza kuita watu kwenye oral interview kwa kuwapigia simu watu walio kuwa shortlisted. Yaani waliofanya vizuri kwenye Written Interview.
Interview hiyo kufanyika Mapema mwezi wa Tatu.
Kwa yeyote aliyepigiwa simu ama kupata Taarifa Hizo za ni siku gani/tarehe na watu wa position gani atujulishe.

Mda mwema.
Hivi hawa jamaa wa Udom wanaita kwenye usail mbona sijasikia kuitwa kwa kazi, mimi nimefanya usail mwaka jana tar 06/ Dec hadi leo hakuna aliyeitwa sijui kuna nini aisee?
 
Habari yako mwana JF,

Chuo kikuu cha Dodoma wameanza kuita watu kwenye oral interview kwa kuwapigia simu watu walio kuwa shortlisted. Yaani waliofanya vizuri kwenye Written Interview.
Interview hiyo kufanyika Mapema mwezi wa Tatu.
Kwa yeyote aliyepigiwa simu ama kupata Taarifa Hizo za ni siku gani/tarehe na watu wa position gani atujulishe.

Mda mwema.

Mdau nasikia pia kwenye website yao wametoa lakini website yao haifunguki tangu juzi twaomba kwa aliyefanikiwa basi atuletee tangazo hilo na huku. Mimi niliomba nafasi ya Warden
 
Mi wamenipigia sasa hivi ni upande wa assistant accountant interview itafanyika tarehe 8/3/2013 saa mbili na nusu asubuhi,kama kawaida vyeti vyote original vinahitajika.

Mkuu wote walioitwa wanatakiwa saa mbili kamili asubuhi na si na nusu kama ulivyoandika. Kila la heri!
 
Hivi hawa jamaa wa Udom wanaita kwenye usail mbona sijasikia kuitwa kwa kazi, mimi nimefanya usail mwaka jana tar 06/ Dec hadi leo hakuna aliyeitwa sijui kuna nini aisee?

Mkuu Uliapply kada gani? Walioitwa kwa sasa ni wafanyakazi waendeshaji kama Accountants, Maafisa awala n.k
 
Mdau nasikia pia kwenye website yao wametoa lakini website yao haifunguki tangu juzi twaomba kwa aliyefanikiwa basi atuletee tangazo hilo na huku. Mimi niliomba nafasi ya Warden

Mkuu kama umepigiwa simu we siku yako ya usaili ikifika uwepo kwenye eneo la tukio. Kila la heri
 
Tusisahau kumuomba Mungu atusaidie na kujiandaa kama kujua cv yako mwenyewe.
 
Mkuu Uliapply kada gani? Walioitwa kwa sasa ni wafanyakazi waendeshaji kama Accountants, Maafisa awala n.k
Mkuu mimi niliaply academic zile nafasi za mwezi wa nane mwaka jana, usaili tukaitwa mwezi Desemba tar 6 nilipigiwa simu usaili ulifanyika college ya education hadi leo hii hakuna kati ya wote tulio itwa kwenye usaili aliyeitwa kazini na college nyingine ni hivyo hivyo sijui ni nini lakini. Au unataarifa zozote kwa hili mkuu naona wanaita ita ita kwenye usaili au hizi nafasi wanazoita saizi zilitangazwa lini?
 
habari yako mwana jf, chuo kikuu cha dodoma wameanza kuita watu kwenye oral interview kwa kuwapigia simu watu walio kuwa shortlisted. Yaani waliofanya vizuri kwenye written interview.interview hiyo kufanyika mapema mwezi wa tatu.kwa yeyote aliyepigiwa simu ama kupata taarifa hizo za ni siku gani/tarehe na watu wa position gani atujulishe.mda mwema.
kama hujapigiwa simu. Sasa wewe unataka nini? Si ndo imetoka hivo
 
Ptz vuta subira kwani hawa jamaa sometimes huchukuwa mda mrefu sana kuita watu toka mda mliyofanyiwa usaili mpaka kuitwa kuanza kazi. Nina experience ya matukio kama hayo toka kwa jamaa zangu but mwisho wa siku from no where walipigiwa simu wakaripoti makazini.

Mkuu mimi niliaply academic zile nafasi za mwezi wa nane mwaka jana, usaili tukaitwa mwezi Desemba tar 6 nilipigiwa simu usaili ulifanyika college ya education hadi leo hii hakuna kati ya wote tulio itwa kwenye usaili aliyeitwa kazini na college nyingine ni hivyo hivyo sijui ni nini lakini. Au unataarifa zozote kwa hili mkuu naona wanaita ita ita kwenye usaili au hizi nafasi wanazoita saizi zilitangazwa lini?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi niliaply academic zile nafasi za mwezi wa nane mwaka jana, usaili tukaitwa mwezi Desemba tar 6 nilipigiwa simu usaili ulifanyika college ya education hadi leo hii hakuna kati ya wote tulio itwa kwenye usaili aliyeitwa kazini na college nyingine ni hivyo hivyo sijui ni nini lakini. Au unataarifa zozote kwa hili mkuu naona wanaita ita ita kwenye usaili au hizi nafasi wanazoita saizi zilitangazwa lini?
Mkuu nachoweza kukushauri ni wewe kuendelea kuvuta subira... saivi wanaoitwa ni wafanyakazi waendeshaji nadhani michakato ya wanataaluma itaendelea hizi interview za waendeshaji zikiisha hata hivyo km wote bado hamjaitwa hakuna lililoharibika. Ntaulizia nikipata taarifa za kutosheleza ntazileta hapa.
 
  • Thanks
Reactions: Ptz
mwenye orodha ya walioitwa naomba aiweke hapa tafadhali kwani nasikia wameweka kwenye web yao na huku bush kuna usumbufu wa mtandao.
 
hv UDOM si ndo hp kilikuwa kinaitwa chuo cha kata.mbona mnakipapatkia hvyo.
 
Mkuu nachoweza kukushauri ni wewe kuendelea kuvuta subira... saivi wanaoitwa ni wafanyakazi waendeshaji nadhani michakato ya wanataaluma itaendelea hizi interview za waendeshaji zikiisha hata hivyo km wote bado hamjaitwa hakuna lililoharibika. Ntaulizia nikipata taarifa za kutosheleza ntazileta hapa.
Asante mkuu Marumia!
 
Back
Top Bottom