nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Na kwa nini mtu uongelee kitu ambacho huna hata experience nacho...woga mbaya sana...utasikia marriage this...marriage that...ukiuliza umeoa/olewa/achika/achana/acha jibu Hapana...umejuaje...oooh nimeona...ingie ucheze uje na ushuuda wenye mashiko
Ijapokuwa ndoa nyingi zimekuwa majanga, lakini zipo ambazo ni very fine!! hivyo hakuna sababu ya kuogopa vitu ambavyo binadamu wenzio wameweza.