Opportunist: WATAKULA WAPI?

Opportunist: WATAKULA WAPI?

Kibanga Ampiga Mkoloni

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2007
Posts
19,021
Reaction score
9,177
Mgeni njoo mwenyeji apone.

MWESHIMIWA KAAMUA KUUZA SURA KWANI HIKI NDIO KIPAUMBELE CHA MANISPAA YA ILALA.

attachment.php



USWAZI NAPO KAMA KAWA!
attachment.php


992794_646033572091520_669710930_n.jpg 1017465_181185545383694_329705814_n.jpg
 
Yaani mdomo ulivyo mzito kuataja Obama road, labda ni mazoea lakini nitaendelea na Ocean Road mpaka mwisho wa.. Ocean Road ofcourse.
 
Naona Slaa anajikuza kupita kiasi sasa, ataharibu, hapo ilitakiwa picha ya Obama
 
Aisee huu ni upuuzi ulooje, I cant imagine that road to be rename, if at all its true! Pile hivi wao wakitembelea huko kwao wanapewa na miji kabisa....yaani huu ulimbukeni utaisha linie:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
 
Barabara inayotumiwa kuingilia ikulu ya nchi imebadilishwa jina na kuitwa Obama Road. Subiri mkulu akirudi marekani ataibadilisha ile ya kwake Pennsylvania Avenue kuwa Kikwete Avenue kwa shukrani zake tu.
 
Aisee huu ni upuuzi ulooje, I cant imagine that road to be rename, if at all its true! Pile hivi wao wakitembelea huko kwao wanapewa na miji kabisa....yaani huu ulimbukeni utaisha linie:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
Yaani we acha tu! Hebu fikiria "Mwai Kibaki Road" ... "Baraka Obama Road" Haiji kwa kweli! Hivi na hospital pia itabadilishwa jina?
 
Dogo anapenda kuuza sura kama JK...
 
Sasa alivyoweka picha yake hapo inamaanisha barabara inaitwa Jerry Silaa Avenue au Obama Avenue??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Barabara inayotumiwa kuingilia ikulu ya nchi imebadilishwa jina na kuitwa Obama Road. Subiri mkulu akirudi marekani ataibadilisha ile ya kwake Pennsylvania Avenue kuwa Kikwete Avenue kwa shukrani zake tu.
hapa ndipo wazungu walikuwaga wanadhani watu weusi sio binadamu halisi japo baada ya baadhi ya weusi wengine kuanza kujitambua, siku hizi wana narrow assumption ya awali na kusema "Watanzania watakuwa binadamu tofauti na wengine"!
Unaweza pia kubisha lakini hebu angalia hilo bango la huyo mheshimiwa!
 
Kweli sifa nyingine uwa zinalewesha, naona meya kalewa sasa
 
Aisee huu ni upuuzi ulooje, I cant imagine that road to be rename, if at all its true! Pile hivi wao wakitembelea huko kwao wanapewa na miji kabisa....yaani huu ulimbukeni utaisha linie:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
Mi nnachojua..kama wameku-feel sana watakupa tu "keys to the city" heshima katika mji fulani au kupiga kengele kufungua soko lao la hisa pale New York Stock Exchange na sii kupachika barabara fulani jina tena la kiongozi wa Kiafrika.Kwa kweli ni kujipendekeza tu kwa sababu eti leo Madison Squire Garden paitwa Jakaya Mrisho Kikwete..I cant imagine that!
 
Back
Top Bottom