Opportunist Mrisho Mpoto

Opportunist Mrisho Mpoto

Hivi Nakaya Sumari yuko wapi vile?

Umenikumbusha uchaguzi mkuu wa Arusha 2010?
 
Chuki ya nini?Mpota anajitafutia kipato kwa kuimba.Katika sanaa si lazima mtunzi akawa muimbaji.Maadamu anaimba kumsifu Lowassa na Kama EL alimlipa ni sawasawa na Station ya TV kutangaza tangazo la promotion za kampuni ya simu.Lakini Mbunge Kamata alipoimba wimbo na kumfananishaJK na Mfalme Suleiman Au Askofu Kilaini aliposema JK ni chaguo la Mungu mbona hamja lalamika Takukuru? Nasikitika kusema mtoa hoja anaonyesha ishara ya WOGA.
 
Khaa! Daudi Mchambuzi unasema kweli? Basi hapo ndio pakuanzia kumjadili.

ni kweli na alipoulizwa akajitetea kuwa speech yake aliandikiwa na hao wakenya so hakua na namna nyingine zaidi ya kusema Mlima Kiilimanjaro upo Kenya kama alivyoandikiwa kwenye speech na hao wakenya.
 
njaaa inamsumbua huyo mpoto mnafiki mkubwa sana...
 

ni kweli na alipoulizwa akajitetea kuwa speech yake aliandikiwa na hao wakenya so hakua na namna nyingine zaidi ya kusema Mlima Kiilimanjaro upo Kenya kama alivyoandikiwa kwenye speech na hao wakenya.
anajifanya mzalendo feki kumbe chenga....
 
He is making money, hela bila kujali imetoka wapi, ni halali kuichukua kama umeitolea jasho, kwani Mpoto ni mpigania Uhuru? yule ni mfanya biashara kupitia sauti yake!
 
Kwelii kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake.

YAani huyu jamaa alivyokuwa anatoka nilimheshimu na nilikuwa namkubali saanaa.
Heshima yangu ilianza kupotea kwake baada kuanza kutumika na serikali ili kumpunguza makali.

SAsa amejidharaulisha wazi kwa jamii kwa kujionyesha mchumia tumbo, mwanzo alikuwa kwa sitta, baadae kuona sitta katiba mpya imemkaanga akahamia kwa membe, sasa ameona upepo wote umehamia kwa lowassa ameamua kuhamia huko huko.

Niliona video ya maneno yale yale aliyoyaongea kwa sitta ndio hayo hayo kayarudia kwa mhe lowassa, jiandae for your downfallcoz wananchi washakudharau na huaminiki tena.

Kwa kifupi revolution spirit kwenye mashairi ya Mpoto sio hisia za Mpoto bali ni creation na ideas za Irene Sanga.
Early 2007 kuna mama flani nadhani profesa wa UD kitivo cha sanaa alimuita best yake kwa jina Irene Sanga na kumshauri atumie kipaji chake kutengeneza mashairi yenye mwendelezo wa matukio ya kuelekea kwenye uchaguzi 2010.
Irene Sanga akaandika nyimbo ya kwanza ya 'Salamu Zako' na kuipeleka kwenye kundi lake alilikua akifanya kazi (nimekisahau jina kikundi) ambapo kiongozi wa kundi alikataa nyimbo hiyo na idea ya "Salamu Zako" akihofia uhasama na serikali.
Irene Sanga alimuita Mpoto ambaye kipindi hicho alikua anajiendeleza bagamoyo ingawa hakuwa na dira, Irene akampatia mashairi na idea nzima wakafanya nyimbo hiyo pamoja.
Irene Sanga is a lady behind the seen ingawa wengi hawajui ila usalama wa taifa wanajua na wameshamsumbua sana Irene Sanga hadi wakamzushia kuwa ni Mkenya ili afukuzwe nchini kisa na mkasa ni the whole idea ya Mjomba, idea ambayo imejifia mikononi mwa Mpoto.
 
Prof: Jay?

Ndiyo unashangaa nini ? Watanzania tupo chini sana katika kufanya analysis,si kweli kujiunga ama kupigia debe ccm ama serikali ndiyo kuanguka kwa msanii,msondo mfano ipo na serikali miaka yote na inaendelea na mashabiki wake wale wale kikubwa kinachowaangusha wasanii ni ubora wa kazi zao
 
Kwelii kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake.

YAani huyu jamaa alivyokuwa anatoka nilimheshimu na nilikuwa namkubali saanaa.
Heshima yangu ilianza kupotea kwake baada kuanza kutumika na serikali ili kumpunguza makali.

SAsa amejidharaulisha wazi kwa jamii kwa kujionyesha mchumia tumbo, mwanzo alikuwa kwa sitta, baadae kuona sitta katiba mpya imemkaanga akahamia kwa membe, sasa ameona upepo wote umehamia kwa lowassa ameamua kuhamia huko huko.

Niliona video ya maneno yale yale aliyoyaongea kwa sitta ndio hayo hayo kayarudia kwa mhe lowassa, jiandae for your downfallcoz wananchi washakudharau na huaminiki tena.
Halafu ana vinasaba vya ki Nabii Tito usikute kuna kiongozi anamnyoosha huyu mbwiga
 
Back
Top Bottom