Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,397
- 191,504
H
ahah hayo sini mambo ya for example mkuu 😂😂😂Tecno imeingiaje hapo ?
ahah hayo sini mambo ya for example mkuu 😂😂😂Tecno imeingiaje hapo ?
duuuuuH
ahah hayo sini mambo ya for example mkuu 😂😂😂
😁 😁 😁 😁 Dah kwamba GB 16 za oppo ni sawa na GB 32 za tecno?Eeh sababu wanatumia High-End Hardwares, 16GB ya oppo ni sawa na 32GB ikiwa kwenye Tecno.
Amini nakwambia 😂😁 😁 😁 😁 Dah kwamba GB 16 za oppo ni sawa na GB 32 za tecno?
TECNO Tanzania huu uchokozi
Apple (Appo)vs OppoWakuu huwa siielewi oppo mara nyingi huwa naona ana mcopy sana iphone. Tofauti ni operating systems tu. Ila vingi oppo anacopy kutoka iphone. Ukicheki muundo hadi displays ndani iphone iphone.
🤣🤣🤣🤣Cc. Hios tecno![]()
![]()
![]()
![]()
Dah 🤣🤣🤣🤣Eeh sababu wanatumia High-End Hardwares, 16GB ya oppo ni sawa na 32GB ikiwa kwenye Tecno.
Zimejazana sana kama njugu..ukipita hapo stend ukaangalia maduka ya simu, yote yamejaa oppoOppo zipo sana Moshi