Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza

Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza

amygdala

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
1,082
Reaction score
999
_92297743_raqqaattack.jpg


Wapiganaji wanaosaidiwa na Marekani, kaskazini mwa Syria, wametangaza wanaanza operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa, shina la Islamic State nchini humo.

Wapiganaji hao ni wa kundi linalojiita wapiganaji wa demokrasi wa Syria, na watasaidiwa na ndege za kijeshi za Marekani.

SDF ni mkusanyiko Waarabu lakini wengi wao ni wapiganaji wa Kikurd.

Na wadadisi wanasema hilo linaweza kuwa tatizo.

Inadaiwa kuwa siku za nyuma, Wakurd waliwafukuza Waarabu kutoka miji fulani, na Wakurd wakisonga mbele hawatokaribishwa katika eneo la Raqqa , ambako watu wengi ni Waarabu.

Chanzo: BBC
 
Pamoja na NATO na jeshi la Iraq kutumia nguvu nyingi kukomboa mji wa Monsul mbona bado huko mikononi mwa ISIS, sasa kwa nini wanakimbilia huko Raqqa, je, NATO wanafikiri huko watafanya miujiza gani?

Kumbuka mji wa Raqqa huko Syria, ninacho kiona mimi hizo ni mbinu za Merikani za kutaka kutumia mji huo kama spring board za kuwezesha waasi wanao mpinga Asaad washambulie majeshi ya Syria, kumbuka hazma ya Merikani ya kutaka kumuondoa madarakani Asaad bado hipo pale pale haya mambo ya kusema sijui wanataka kutokomeza kikundi cha ISIS hizo ni geresha tu.

Leo nimeona wanajeshi wa Merikani na magari yao ya kijeshi yanakaribia mji wa Raqqa wamevaa sare za wanajeshi wa Kikurd, kumbuka vile vile wanataka kuvamia nchi huru bila ya idhini ya UN au kukaribishwa na Serikali ya Syria - sasa nini kinaweza kutokea, Urusi inaweza kuchukua a low profile sio kwamba hawajui lengo la Merikani si wamesema wanataka kuangamiza kikundi cha ISIS?

Sasa Merikani ikivuka a red line ikashambulia wanajeshi wa Syria au one of the bases za Warusi nchini Syria, basi hapo Wamerikani na Warusi wakabiriana moja kwa moja na inaweza kuwa vita mbaya sana - I hope Wamerikani hilo wamelitafakari kiundani.

Warusi awawezi kuruhusu Wamerikani watumie nchi ya Syria kufundisha waasi kutoka Ulaya mashariki kwa lengo la kufanya ugaidi alafu wawapenyeze nchi Urusi kufanya ugaidi na uaasi - Warusi watatumia nguvu zao zote kulinda Taifa lao, awatapigana kwa ajili ya maslahi watapigana kwa ajili ya usalama wa Taifa lao, na safari hii wanaonekana wako determined kweli kweli.

Kinacho shangaza kidogo, Wakurd wa Iraq, Syria na Uturuki wanasaidiwa na Wamerikani wakiwemo waasi wa Syria, Uturuki iataki Wakurd wasaidiwe na nchi yoyote, Uturuki ina wasi wasi kwamba Wakurd wakiungana watataka waunde nchi yao, na ukisoma warplan za Merikani za tangu miaka mingi ya nyuma atakuta yanayo endelea Syria na Mashariki ya kati ilikuwa na mpango wa kuhunda nchi nyingine mashariki ya kati kwa kumega sehemu za Iraq, Syria na Uturuki na ukiangalia kwenye ramani utakuta sehemu za aridhi kwenye plan za Wamerikani zina utajili wa mafuta na gesi ndiyo maana wanataka ku-annex sehemu hizo na kuwapa Wakurd amboa watakuwa watiifu kwa USA - hii si adithi ni kweli tupu.

Sasa swali ni: hivi Uturuki, Iran ambayo nayo ina Wakurd, Syria na Urusi wanaweza kukubali upuuzi huu - awawezi kukubali. Je, Merikani hiko radhi kuanzisha WW3 kwa ajili ya Syria na Wakurd wakati na wao wakijua kwamba awawezi kupona.

Hali inavyo elekea sio nzuri hata kidogo mashariki ya kati hasa Syria - ikitokea miscalculation Dunia na viumbe vyote vitangamia/tutangamiahakuna kitakacho baki.
 
Pamoja na NATO na jeshi la Iraq kutumia nguvu nyingi kukomboa mji wa Monsul mbona bado huko mikononi mwa ISIS, sasa kwa nini wanakimbilia huko Raqqa, je, NATO wanafikiri huko watafanya miujiza gani?

Kumbuka mji wa Raqqa huko Syria, ninacho kiona mimi hizo ni mbinu za Merikani za kutaka kutumia mji huo kama spring board za kuwezesha waasi wanao mpinga Asaad washambulie majeshi ya Syria, kumbuka hazma ya Merikani ya kutaka kumuondoa madarakani Asaad bado hipo pale pale haya mambo ya kusema sijui wanataka kutokomeza kikundi cha ISIS hizo ni geresha tu.

Leo nimeona wanajeshi wa Merikani na magari yao ya kijeshi yanakaribia mji wa Raqqa wamevaa
Nguo za wanajeshi wa Kikurd, kumbuka vile vile wanataka kuvamia nchi huru bila ya idhini ya UN au kukaribishwa na Serikali ya Syria - sasa nini kinaweza kutokea, Urusi inaweza kuchukua a low profile sio kwamba hawajui lengo la Merikani si wamesema wanataka kuangamiza kikundi cha ISIS? Sasa Merikani ikivuka a red line ikashambulia wanajeshi wa Syria au one of the bases za Warusi nchini Syria basi hapo Wamerikani na Warusi wakabiriana moja kwa moja na inaweza kuwa vita mbaya sana - I hope Wamerikani hilo wamelitafakari kiundani - Warusi awawezi kuruhusu Wamerikani watumie nchi ya Syria kufundisha waasi kutoka Ulaya mashariki kwa lengo la kufanya ugaidi alafu wawapenyeze nchi Urusi kufabya ugaidi na uaasi - Warusi watatumia nguvu zao zote kulinda Taifa lao, awatapigana kwa ajili ya maslahi watapigana kwa ajili ya usalama wa Taifa lao safari hii wanaonekana wako determined kweli kweli.

Kinacho shangaza kidogo, Wakurd wa Iraq, Syria na Uturuki wanasaidiwa na Wamerikani wakiwemo waasi wa Syria Uturuki iataki Wakurd wasaidiwe na nchi yoyote Uturuki ina wasi wasi kwamba Wakurd wakiungana watataka waunde nchi yao na Merikani tangu miaja mingi ilikuwa na mpango wa kuhunda nchi nyingine mashariki ya kati kwa kumega sehemu za Iraq, Syria na Uturuki na ukiangalia kwenye ramani utakuta sehemu za aridhi kwenye plan za Wamerijani zina utajili wa mafuta na gesi ndiyo maana wanataka ku-annex sehemu hizo na kuwapa Wakurd amboa watakuwa watiifu kwa USA - hii si adithi ni kweli tupu - sasa swali ni: hivi Uturuki, Iran ambayo nayo ina Wakurd, Syria na Urusi wanaweza kukubali upuuzi huu? Je, Merikani hiko radhi kuanzisha WW3 kwa ajili ya Syria na Wakurd?

Hali inavyo elekea sio nzuri hata kidogo nashariki ya kati hasa Syria - ikitokea miscalculation Dunia na viumbe vyote vitangamia/tutangamia.
Duh sasa Putin naye atataka kuonesha utemi hapo yanaweza kuwa majanga zaid. Japo najua ww3 haiwez kutokea
 
Duh sasa Putin naye atataka kuonesha utemi hapo yanaweza kuwa majanga zaid. Japo najua ww3 haiwez kutokea

Mkuu mimi nina marafiki zangu nchi mbali mbali zikiwemo Ulaya na Merikani wengine tulikuwa wote vyuoni na wengine kwenye makonganano.

Sasa mkuu ni hivi: Ni watu wachache wanaojua kwa nini aircraft carrier ya Kirusi na meli nyingine zikiwemo submarine zinakwenda kutia nanga huko nchi Syria, ukiangalia kijuu juu unaweza kufikiri aircraft carrier ya Urusi ni ya kawaida kama zilivyo za Merikani, Ufaransa na Uingereza ukweli wa mambo meli hiyo ni tofauti yenyewe ni battle ship hasa hasa na siyo kubeba ndege za vita tu na kubaki kama a floating coffin, yenyewe imesheheni silaha za kushambulia na kujilinda zisizo za kawaida hata kidogo, weledi (nafikiri unajua ninacho maanisha) wanasema Warusi walipata fununu za kintelijensia kuhusu Wamekani kutaka kutumia mji wa Raqqa kujaribu kuifanyia hujuma Serikali ya Asaad wakishirikiana na Waasi ikiwemo kujaribu kushambulia baadhi ya bases za jeshi la Syria na Urusi, sasa jibu la kukomesha upuuzi huo ndio limekwisha patikana sasa jamaa wajaribu kushambulia walimu wa kijeshi wa Urusi waliyopo Syria, bases zao au majeshi ya Syria uone kitakacho tokea.

Hivi sasa Merikani si imeanza kuzuga Dunia kwa kujifanya inataka kushambulia mji wa Raqqa ili itokomeze kikundi cha ISIS, kikundi ambacho walishidwa kukitokomeza huu ni mwaka wa nne wanakipiga mabom ya uongo na kweli matokeo yake badala ya kikundi kusambaratishwa kinashamiri kila kukicha - agenda za siri za Serikali/Mageneral wa jeshi la Merikani na Washirika wao zitadhiilika mjini Raqqa Syria - yetu macho.
 
hapo zamani za kale ufaransa na urusi waliingia makubaliano ya kutengeneza air craft carrier mbili, baadaye lilipotokea suala la ukraine ufaransa akakatazwa na kaka yake marekani asimpe hizo kitu mrusi japo moja ilikuwa imekamilika, wakavuntana weeeee...ufaransa akaamua kumuuzia hizo vitu misri..misri alivyozinunua tu akaenda kuzihifadhi kwake....baadaye imefahamika kuwa zile vitu ziko mikononi mwa warusi na ni mali yao wamezinunua toka misri.....walimwengu wana akili sana, juzi kati mrusi kajifanya anaenda kufanya mazoezi na misri kumbe ndo wanakabidhiana kijanja...hili limefichuliwa na wazili wa poland, ikumbukwe poland na ufaransa nao kuna dili la kuuziana helkopta walikubaliana, mfaransa akawa anajua kabisa atapiga hela, ghafla jamaa wamewatosa na wanasema wanaenda kununua za amerika...ufaransa wanalalamika ila baadaye wakaambiwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu...maana yeye aliwafanyia warusi hivyo na yeye kafanyiwa na wapoland hivyo....
 
hapo zamani za kale ufaransa na urusi waliingia makubaliano ya kutengeneza air craft carrier mbili, baadaye lilipotokea suala la ukraine ufaransa akakatazwa na kaka yake marekani asimpe hizo kitu mrusi japo moja ilikuwa imekamilika, wakavuntana weeeee...ufaransa akaamua kumuuzia hizo vitu misri..misri alivyozinunua tu akaenda kuzihifadhi kwake....baadaye imefahamika kuwa zile vitu ziko mikononi mwa warusi na ni mali yao wamezinunua toka misri.....walimwengu wana akili sana, juzi kati mrusi kajifanya anaenda kufanya mazoezi na misri kumbe ndo wanakabidhiana kijanja...hili limefichuliwa na wazili wa poland, ikumbukwe poland na ufaransa nao kuna dili la kuuziana helkopta walikubaliana, mfaransa akawa anajua kabisa atapiga hela, ghafla jamaa wamewatosa na wanasema wanaenda kununua za amerika...ufaransa wanalalamika ila baadaye wakaambiwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu...maana yeye aliwafanyia warusi hivyo na yeye kafanyiwa na wapoland hivyo....
S-300 na S-400 funga kazi, wasubiri ujio wa S-500.S-300 tu haina mpinzani sijui hizo zingine vipi.
 
hapo zamani za kale ufaransa na urusi waliingia makubaliano ya kutengeneza air craft carrier mbili, baadaye lilipotokea suaula la ukraine ufaransa akakatazwa na kaka yake marekani asimpe hizo kitu mrusi japo moja ilikuwa imekamilika, wakavuntana weeeee...ufaransa akaamua kumuuzia hizo vitu misri..misri alivyozinunua tu akaenda kuzihifadhi kwake....baadaye imefahamika kuwa zile vitu ziko mikononi mwa warusi na ni mali yao wamezinunua toka misri.....walimwengu wana akili sana, juzi kati mrusi kajifanya anaenda kufanya mazoezi na misri kumbe ndo wanakabidhiana kijanja...hili limefichuliwa na wazili wa poland, ikumbukwe poland na ufaransa nao kuna dili la kuuziana helkopta walikubaliana, mfaransa akawa anajua kabisa atapiga hela, ghafla jamaa wamewatosa na wanasema wanaenda kununua za amerika...ufaransa wanalalamika ila baadaye wakaambiwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu...maana yeye aliwafanyia warusi hivyo na yeye kafanyiwa na wapoland hivyo....

Mkuu, Wafaransa walipo sema wanawauzia wa Misri Mistral Helicopter Carrier nilijua kinacho endelea - kwanza Misri haitaji meli kama hiyo, kilicho nichekeza zaidi ni pale Wamisri walipo sema wanataka Warusi wa install kwenye meli radio na navigation instruments kutoka Urusi, baadae wakasema watanunua Helicopter type Kamov kutoja Urusi vile vile - kumbuka Wafaransa walipo anza mizengwe yao ya kutotaka kuruhusu Meli kupelekwa Urusi licha ya kulipiwa kila kitu, majasusi wa Urusi walikwenda Bandarini Ufaransa wakaondoa Radio na Navigation Instruments zote na kuondoka nazo, aijulikani kama walishirikiana na baadhi ya mafundi wa huko huko Ufaransa baada ya kuchoshwa na Shinikizo la Merikani.

Binafsi sioni ajabu kama Misri ilipewa fedha na Urusi kununua meli hizo kutoka Ufaransa, baada ya muda utasikia zimekwisha pelekwa Urusi!! Hata bei ambayo msemaji wa Polandi anadai Wamisri waliwauzia Warusi inashangaza kidogo - Meli gani ya kivita unaweza kuinunua kwa $ Million moja - wanafanya usanii tu wa kuzuga Wamerikani!!!
 
iwapo SDF watafanikiwa kuchukua raqqa basi kuna makubaliano kuwa wakurdi waliopo ndani ya SDF wataondoka na mji huo utabaki chini ya waarabu km walivyofanya manbij,pia kule northern Aleppo Turkey anaongoza Euphrates shield .akiwaongoza waasi wa jeshi huru la syria (FSA) kuukomboa mji wa al bab, kwahio baada ya battle ya allepo kuisha miji ambayo itakua iko chini ya waasi itakua ni manbij,raqqa,al bab,idlib, sehemu za mji wa hama na sehemu za golan heights zinazopakana na israel ...stil kuna vifo ving sana vitaendelea syria kutokana na vita hii na nchi zinazoshiriki ziendelee kumwaga pesa kwe bajet zao ili kuendelea kupiga kazi huko syria...kwa wale wanaotaka umwagaji damu uishe wanombaangalau serikali ishinde ingawa haijulikan ni baada ya muda gan but angalau machafuko yanaweza kuisha lakin kama waasi watakuja kushinda basi tuetegemee vita mpya maana wako wengi mno makund zaid ya ya mia so km watashnda basi wataanza kupigana wao kwa wao kugombania madaraka swala ambalo litakua ni maafa zaidi
 
Mkuu mimi nina marafiki zangu nchi mbali mbali zikiwemo Ulaya na Merikani wengine tulikuwa wote vyuoni na wengine kwenye makonganano.

Sasa mkuu ni hivi: Ni watu wachache wanaojua kwa nini aircraft carrier ya Kirusi na meli nyingine zikiwemo submarine zinakwenda kutia nanga huko nchi Syria, ukiangalia kijuu juu unaweza kufikiri aircraft carrier ya Urusi ni ya kawaida kama zilivyo za Merikani, Ufaransa na Uingereza ukweli wa mambo meli hiyo ni tofauti yenyewe ni battle ship hasa hasa na siyo kubeba ndege za vita tu na kubaki kama a floating coffin, yenyewe imesheheni silaha za kushambulia na kujilinda zisizo za kawaida hata kidogo, weledi (nafikiri unajua ninacho maanisha) wanasema Warusi walipata fununu za kintelijensia kuhusu Wamekani kutaka kutumia mji wa Raqqa kujaribu kuifanyia hujuma Serikali ya Asaad wakishirikiana na Waasi ikiwemo kujaribu kushambulia baadhi ya bases za jeshi la Syria na Urusi, sasa jibu la kukomesha upuuzi huo ndio limekwisha patikana sasa jamaa wajaribu kushambulia walimu wa kijeshi wa Urusi waliyopo Syria, bases zao au majeshi ya Syria uone kitakacho tokea.

Hivi sasa Merikani si imeanza kuzuga Dunia kwa kujifanya inataka kushambulia mji wa Raqqa ili itokomeze kikundi cha ISIS, kikundi ambacho walishidwa kukitokomeza huu ni mwaka wa nne wanakipiga mabom ya uongo na kweli matokeo yake badala ya kikundi kusambaratishwa kinashamiri kila kukicha - agenda za siri za Serikali/Mageneral wa jeshi la Merikani na Washirika wao zitadhiilika mjini Raqqa Syria - yetu macho.
Mkuu na kupata sana mkuu
 
hapo zamani za kale ufaransa na urusi waliingia makubaliano ya kutengeneza air craft carrier mbili, baadaye lilipotokea suala la ukraine ufaransa akakatazwa na kaka yake marekani asimpe hizo kitu mrusi japo moja ilikuwa imekamilika, wakavuntana weeeee...ufaransa akaamua kumuuzia hizo vitu misri..misri alivyozinunua tu akaenda kuzihifadhi kwake....baadaye imefahamika kuwa zile vitu ziko mikononi mwa warusi na ni mali yao wamezinunua toka misri.....walimwengu wana akili sana, juzi kati mrusi kajifanya anaenda kufanya mazoezi na misri kumbe ndo wanakabidhiana kijanja...hili limefichuliwa na wazili wa poland, ikumbukwe poland na ufaransa nao kuna dili la kuuziana helkopta walikubaliana, mfaransa akawa anajua kabisa atapiga hela, ghafla jamaa wamewatosa na wanasema wanaenda kununua za amerika...ufaransa wanalalamika ila baadaye wakaambiwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu...maana yeye aliwafanyia warusi hivyo na yeye kafanyiwa na wapoland hivyo....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hapo zamani za kale ufaransa na urusi waliingia makubaliano ya kutengeneza air craft carrier mbili, baadaye lilipotokea suala la ukraine ufaransa akakatazwa na kaka yake marekani asimpe hizo kitu mrusi japo moja ilikuwa imekamilika, wakavuntana weeeee...ufaransa akaamua kumuuzia hizo vitu misri..misri alivyozinunua tu akaenda kuzihifadhi kwake....baadaye imefahamika kuwa zile vitu ziko mikononi mwa warusi na ni mali yao wamezinunua toka misri.....walimwengu wana akili sana, juzi kati mrusi kajifanya anaenda kufanya mazoezi na misri kumbe ndo wanakabidhiana kijanja...hili limefichuliwa na wazili wa poland, ikumbukwe poland na ufaransa nao kuna dili la kuuziana helkopta walikubaliana, mfaransa akawa anajua kabisa atapiga hela, ghafla jamaa wamewatosa na wanasema wanaenda kununua za amerika...ufaransa wanalalamika ila baadaye wakaambiwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu...maana yeye aliwafanyia warusi hivyo na yeye kafanyiwa na wapoland hivyo....

Ulikuwepo wakati wanapanga Haya yote...wabongo Mbona mnapenda Sana fix?

Sent from mTalk
 
Mkuu, Wafaransa walipo sema wanawauzia wa Misri Mistral Helicopter Carrier nilijua kinacho endelea - kwanza Misri haitaji meli kama hiyo, kilicho nichekeza zaidi ni pale Wamisri walipo sema wanataka Warusi wa install kwenye meli radio na navigation instruments kutoka Urusi, baadae wakasema watanunua Helicopter type Kamov kutoja Urusi vile vile - kumbuka Wafaransa walipo anza mizengwe yao ya kutotaka kuruhusu Meli kupelekwa Urusi licha ya kulipiwa kila kitu, majasusi wa Urusi walikwenda Bandarini Ufaransa wakaondoa Radio na Navigation Instruments zote na kuondoka nazo, aijulikani kama walishirikiana na baadhi ya mafundi wa huko huko Ufaransa baada ya kuchoshwa na Shinikizo la Merikani.

Binafsi sioni ajabu kama Misri ilipewa fedha na Urusi kununua meli hizo kutoka Ufaransa, baada ya muda utasikia zimekwisha pelekwa Urusi!! Hata bei ambayo msemaji wa Polandi anadai Wamisri waliwauzia Warusi inashangaza kidogo - Meli gani ya kivita unaweza kuinunua kwa $ Million moja - wanafanya usanii tu wa kuzuga Wamerikani!!!
Acha uongo..

Sent from mTalk
 
Mkuu mimi nina marafiki zangu nchi mbali mbali zikiwemo Ulaya na Merikani wengine tulikuwa wote vyuoni na wengine kwenye makonganano.

Sasa mkuu ni hivi: Ni watu wachache wanaojua kwa nini aircraft carrier ya Kirusi na meli nyingine zikiwemo submarine zinakwenda kutia nanga huko nchi Syria, ukiangalia kijuu juu unaweza kufikiri aircraft carrier ya Urusi ni ya kawaida kama zilivyo za Merikani, Ufaransa na Uingereza ukweli wa mambo meli hiyo ni tofauti yenyewe ni battle ship hasa hasa na siyo kubeba ndege za vita tu na kubaki kama a floating coffin, yenyewe imesheheni silaha za kushambulia na kujilinda zisizo za kawaida hata kidogo, weledi (nafikiri unajua ninacho maanisha) wanasema Warusi walipata fununu za kintelijensia kuhusu Wamekani kutaka kutumia mji wa Raqqa kujaribu kuifanyia hujuma Serikali ya Asaad wakishirikiana na Waasi ikiwemo kujaribu kushambulia baadhi ya bases za jeshi la Syria na Urusi, sasa jibu la kukomesha upuuzi huo ndio limekwisha patikana sasa jamaa wajaribu kushambulia walimu wa kijeshi wa Urusi waliyopo Syria, bases zao au majeshi ya Syria uone kitakacho tokea.

Hivi sasa Merikani si imeanza kuzuga Dunia kwa kujifanya inataka kushambulia mji wa Raqqa ili itokomeze kikundi cha ISIS, kikundi ambacho walishidwa kukitokomeza huu ni mwaka wa nne wanakipiga mabom ya uongo na kweli matokeo yake badala ya kikundi kusambaratishwa kinashamiri kila kukicha - agenda za siri za Serikali/Mageneral wa jeshi la Merikani na Washirika wao zitadhiilika mjini Raqqa Syria - yetu macho.
Thanks kwa info mkuu. Sasa hivi mrusi hataki mchezo kabisa.
 
Kwenye thread hii nimepata kitu kikubwa ambacho si cha kiushabiki bali hali halisi inayoendelea huko Syria na matayarisho ya hao watemi wa dunia kutimiza malengo yao pale Syria. Asante sana mkuu Bukyanagandi, mnyikungu na amygdala kwa maelezo murua kabisa
 
Back
Top Bottom