P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,195
- 621
Wahindi ni mikundusana
Tena Manji anaweza kuwa Mtanzania wa kweli kuliko wewe.
Kuna Watz wajinga sana, Mtu anae uulizia utanzania wa Manji hata akili yake itakua ishakufa kitambo.Tena Manji anaweza kuwa Mtanzania wa kweli kuliko wewe.
Uzembe,uzembe,uzembe.Tatizo hili lisingekuwepo isingekuwa uzembe wa serikali ya awamu ya pili,ya tatu na ya nne.Nakumbuka tulikuwa na a very strong ten cell unit system wakati wa serikali ya awamu ya kwanza.Sijui mdudu gani aliingia na slowly system ile ikafa.Under that system kila mgeni aliyeingia aliripotiwa kwa mjumbe wa nyumba kumi na hatimaye Mwenyekiti wa Kijiji.Hatua hii ilisaidia sana kudhibiti wahamiaji haramu na ujambazi.Kama system hii isiporudishwa,effort hii ya sasa haitasaidia lolote.
Nani kakudanganya kuwa ili uwe mtz lazma ujue kiswahili fasaha! Ni waafrika wangapi wanaongea kiswahili kibovu kuliko hata Manji!? Wamasai wangapi wana ongea Kiswahili kibovu!? Ni wasukuma wangapi hawajui hata kuongea Kiswahili tu!?Kivipi ndugu ikiwa hata Kiswahili hajui
Watu Haramu ndiyo watu gani hao .......... acheni serikali ifanye kazi zake kwa kufata sheria za nchi.
Kama unataka kuwa na multinational companies nchini basi lazima uruhusu wageni. Otherwise keep local!!
Shida si Manji..shida ni kwanini makampuni yake kajaza wahindi wageni??ina maana hana imani na " watanzania wenzake"??Kuna Watz wajinga sana, Mtu anae uulizia utanzania wa Manji hata akili yake itakua ishakufa kitambo.
Kaka hujui dharau na ubaguzi wa wahindi,.mkuu kwani una ugomvi nao? mbona uwataji wakongo?
Ni kweli kabisaIla Serikali ndio imesababisha huu ujinga wote, kama kungekuwa na sheria kali tokea mwanzo wasingejazana hivi hapa nchini. Bila vibali
Malalamiko yako yatume kwenye email ya uhamiaji metolewa au piga cmhiyo operation iende na kwa watu weusi waliopo nchini...kuna wakenya wengi sana kwenye makampuni ya hapa nchini, unakuta eti mkenya ni mhariri wa Radio ya Kiswahili?
kuna kampuni kubwa ya Media imeajiri wakenya wengi sana, unakuta eti mkenya ni msomaji wa habari za kiswahili kwenye radio hiyo.
Kwa ufupi huyo mwenye kampuni kaajiri RAIA wa kigeni zaidi ya 30.
mmoja eti ni mhasibu.., IT, Waandishi wa habari, Moja anafanya Clearing and forwarding ni wakala na ni mkenya, yaan ni wengi sana, kuna jamaa anafanya kwenye hiyo kampuni anasema yaan ni shida sana...
kama hao wahindi wana vibali na wamefata sheria zetu tatizo liko wapi? manji mfanyabiashara anaangalia interest zake kama unaona kakosea fungua na wewe company yako ajiri wa tanzania.Shida si Manji..shida ni kwanini makampuni yake kajaza wahindi wageni??ina maana hana imani na " watanzania wenzake"??
Mkuu hizi information inabidi kuwajulisha uhamiaji ili wajue madudu gani yanaendelea ktk maeneo husika naamini wataifanyia kazi.Kaka hujui dharau na ubaguzi wa wahindi,.
Mi nafikiri waanze na wahindi kwanza,
Waje vingunguti pale kuna kampuni inaitwa Phillips pharmaceuticals ltd,
Waone madudu..
Kuna wafamasia wahindi hawajui hata paracetamol inafanyaje kazi..
Kaka nimefanya hivyo Mara nyingi, jamaa wananipotezea, nimefika mpaka wizarani coz nimeshakuwa mwajiriwa wa hawa wahindi, I know many things,Mkuu hizi information inabidi kuwajulisha uhamiaji ili wajue madudu gani yanaendelea ktk maeneo husika naamini wataifanyia kazi.