Mbunge huyu mama akichangia ameshindwa kabisa kuzuia itikadi zake na kuelekeza mashambulizi yake kwa chama cha upinzani huku akinyoosha kidole kwa wabunge wa (CHADEMA) ndio wamewatuma watu kufanya Operesheni Tokomeza na kupiga na kuua watu, ili watawale nchi hii. Zomea zomea zikaanza ikabidi spika Makinda aingilie kati na kumwambia mbunge huyu Mshana ajikite kwenye hoja iliyopo mezani.
halafu anatumia kodi ya hao wanaouawa shame on her and the one who appointed her