Lema Atakuja baada ya Huyu Mchangiaji muda sio mrefu!
Ivi kuna mpinzani anaeweza kulituma jeshi la wananchi(JWTZ) au jeshi la polisi kufanya huo unyama? Uyo naona uzito wa hoja ulimdatisha kama yule mkalimani wa kwa Mandela....!
Sasa Lema anaongea
Jamani huyu Lema!!
Ila kabadilika kwa kias kikubwa.......anazid kukomaa kisiasa
Nipo hapa yaan Lema kaua ile mbaya.... Ritz yupo kwenye kamati ya ufundi si unajua tena