Nakandamiza Kibara
Senior Member
- Jul 17, 2007
- 143
- 10
Sasa anaogopa nini wakati yeye yuko nambari One!
Ana ogopa Elimu ya Uraia na kumchagua unaye mtaka inayo mwagwa na Chadema . Si kitu kidogo kumpa mtu unajiri ili ajikwamue .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa anaogopa nini wakati yeye yuko nambari One!
Slaa na Chadema asijisumbue Tanga, Nichama cha kichaga na kanisa hivyo ndo kinavyoeleweka, Mbowe amejaribu kupiga masambasort na dege lake lakini hakuna mtu alie mjali. Huko Tanga ni CCM na CUF, Chadema ni ukabila na udini.
Slaa ni ngoma ndogo sana kwa Makamba...
Watu wasio ijua Chadema na wasio mjua Slaa jukwaani na Zitto na Mbowe basi wafike Tarime waulize . Chadema did wonders maana Serikali si siri ilishiriki kiais kikubwa kuvuruga uchaguzi kwa kila ya aina mkakati mchafu lakini maneno ya jukwaani hoja nzito za Chadema zilipelekea wana Tarime kulinda kura zao . Leo Kibunango yuko Ulaya atabwabwaja lakini lakini he cannot feel te heat . Awaulize wanao pitiwa na Upepo wa Chadema . Wanajua for sure what Chadema can do
Bull nadhani CHADEMA inakunyima sana usingizi.Ukweli siku zote hata ukiupindisha vipi,utabaki kuwa ukweli tu.Nakubaliana na wewe kwamba Tanga ilikuwa ni CCM na CUF lakini sio sasa.Katika operesheni hii tumepata wanachama wengi from both two mentioned parties na wengine waliokuwa hawana chama.Kama unabisha subiri mwakani uone kwenye ubunge na udiwani.
Kwa siasa za bongo, bila ndumba haufanikiwi!...siasa haihitaji uchawi...
Hivi ile operation Sangara kule kanda ya ziwa imezaa matunda gani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa?
Kwa kelele tulizoletewa hapa, nilikuwa nategemea CHADEMA wawe na asilimia kubwa ya vijiji na mitaa.
Muhimu ni kuwasha moto na kupata viongozi wa maana kule vijijini na wilayani maana hao ndio wanaandaa ushindi. Vinginevyo tutabaki na yale yale chenga twawala japo goli twafungwa.
Itakuwa kazi kubwa sana CHADEMA kushinda kiti cha ubunge huko Tanga. Inabidi nguvu na mikakati ya ziada.
Naomba mnijuze uwepo wa zitto....YUPO?
Huko Tanaga Chadema washau, CUF imeisambaratisha CCM kwenye chaguzi za serikali za mitaa, Mbunge wa o wa CCM sasa hakubaliki. CUF wamejiimarisha ni nitishio kubwa kwa CCM
Chadema kinaeleweka kama chama cha:
1) One man show- Mbowe ni actor ndie anae run show
2) Uchaga
3) Chama cha kanisa
Chadema lazima kishafishe image ilikikubalike na wananch, kama mtabaki katika State of denial, hamtofika popote. Guys you have to do samething, sio ku-brush off malalamiko ya wananchi. You have been warned!!
Wana JF
Kwa ninavyowajua hawa wawili wote wakiwa ni Makatibu wakuu wa vyama vikubwa nchini..[/QUOTE]
Yaani kujidanganya huku hakuna tofauti na wale wanaopita wakidai nchi iko shwari na CCM mambo poa....
CHADEMA yaweza kuwa chama kilichokua na hadi siku za karibuni kilikuwa kimefanikiwa kujenga matumaini kwa watanzania walio wengi lakini hii sifa ya ukubwa wa kujilinganisha na CCM ni kujidanganya.
Kama kweli CUF wamesimama Tanga is well and good . Chadema hawako kuimaliza CUF bali CCM . We need CUF kuwa mbugeni na kushika madaraka pia .
Sasa tolea ushahidi wa madai yako uliyo yatoa hapo juu mana they make no sense . Kmaa una bisha onyesha
1.Uchaga
2.Kanisa
3.Mbowe being a one man show .
Au ni kwa vile hawajasema lolote kuhusiana na mahakamna ya kadhi .Guys huu ujinga mnao utoa hapa mnalishwa na nani ?
Hivi ile operation Sangara kule kanda ya ziwa imezaa matunda gani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa?
Kwa kelele tulizoletewa hapa, nilikuwa nategemea CHADEMA wawe na asilimia kubwa ya vijiji na mitaa.
Muhimu ni kuwasha moto na kupata viongozi wa maana kule vijijini na wilayani maana hao ndio wanaandaa ushindi. Vinginevyo tutabaki na yale yale chenga twawala japo goli twafungwa.
Itakuwa kazi kubwa sana CHADEMA kushinda kiti cha ubunge huko Tanga. Inabidi nguvu na mikakati ya ziada.
Mkulima
Hebu fuatilia vizuri takwimu za chaguzi za serikali za mitaa mwaka huu utagundua kuwa CHADEMA imepanda kwa kiwango kikubwa..
Wana JF
Kwa ninavyowajua hawa wawili wote wakiwa ni Makatibu wakuu wa vyama vikubwa nchini..[/QUOTE]
Yaani kujidanganya huku hakuna tofauti na wale wanaopita wakidai nchi iko shwari na CCM mambo poa....
CHADEMA yaweza kuwa chama kilichokua na hadi siku za karibuni kilikuwa kimefanikiwa kujenga matumaini kwa watanzania walio wengi lakini hii sifa ya ukubwa wa kujilinganisha na CCM ni kujidanganya.
Omar
Give a break.Nadhani ndugu yangu umeathirika sana na siasa za CHADEMA. Kwanza sijalinganisha CHADEMA na CCM ila nimesema ni vyama vikubwa,huu ni ukweli usiopingika isipokuwa ukubwa huu unaweza ukatofautiana.Inawezekana umekurupuka tu kujibu hili kutokana na negativity yako kuhusu CHADEMA.Ukubwa wa chama unapimwa kwa mambo mengi
1. Kuwa na wanachama wengi
2.Chama kuwa na mtandao maneno mengi nchini
3.Chama kujulikana na kukubalika na watu wengi hata kama sio wanachama
4.Chama kuweza kufanya programu zake za kichama kwa kiwango cha ufanisi
5.Chama kukubalika na kimataifa.n.k
Hivyo vyote CHADEMA wanavyo.Ni ukweli kwamba Tanzania kuna vyama vitatu tu vikubwa CCM,CHADEMA na CUF hili halipingiki isipokuwa ukubwa wa vyama hivi vitatu vinatofautiana.nadhani tumeelewana sasa.
Vipi lakini Zitto hajambo?tell him that I MISS HIM SO MUCH
Unaonaje ukatusaidia wengi wetu hapa kwa kutuletea hizo facts and datas...
Wana JF
Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Operesheni Sangara ya CHADEMA iko Lushoto tangu jana na Dk Slaa atakuwa katika kata kadhaa za wilya ya Lushoto ikiwemo katika kijiji cha Makamba Tamota.Kwa ninavyowajua hawa wawili wote wakiwa ni Makatibu wakuu wa vyama vikubwa nchini.I can imagine Slaa atakavyomshughulikia Makamba.I wish kama ningekuwepo kwenye mkutano huo nimsiklize Live Dk Slaa.Ni mchana huu atakuwa kijijini hapo.Tusubiri tupate yatakayojiri huko,nitawahabarisha.