Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Siasa za udanganyifu hizo Tanzania ni nchi ya amani nenda mnapotaka hakuna wa kuwagusa serikali itawalinda.
ha ha ha toka lini paka akalinda bucha?
Siasa za udanganyifu hizo Tanzania ni nchi ya amani nenda mnapotaka hakuna wa kuwagusa serikali itawalinda.
hiyo mikoa ina wakristo wachache ndio mana cdm haikubaliki
hawataacha mtaa, kijiji, kitongoji, kata, jimbo, wilaya na hata mkoa ni muda tu.