Operesheni sangara party 2 kuanza wiki ijayo.

Operesheni sangara party 2 kuanza wiki ijayo.

Lua

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
704
Reaction score
305
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuanza ziara ya kuimarisha chama katika mikoa mitano. nayo ni dodoma,singida,manyara,iringa na morogoro.


source: clouds tv
 
Hii ni M4C sio operation sangara. Umma unawasubiri kwa Nchemba M
 
Magamba lazima yajiharishie kupitia puani safari hii.
 
Natuma m pesa ss ivi mafuta ya matrk ya matangazo kwa sjili ya jimbo la nchembs
 
Chadema mbona mnaweka roho za wanamagamba juujuu, mtawauwa kwa presha.
 
BRAVO viongozi wetu CDM!!!

Mashitaka yote ya HALI YA USALAMA KUZOROTA, na Rais Kikwete kutumia bendera yetu ya taifa kufanyia biashara binafsi bila idhini ya WaTanzania yote haya yafikishwe katika mahakama ya Umma wao wakaamue.

Dr Ulimboka kunusurika machinjioni Mabwepande na ha hadi wiki ya 3 hii hakuna yeyote aliyefikishwa mahakamani sasa ni zamu ya Mahakama ya Umma kuyatolea dira mambo haya tata yalioshindikana kutatuliwa kwa wakati.

This is the way to go in order to find JUSTICE from the people that CHADEMA and rights bodies have faile to find anywhere else within this corrupt government's corridors of power.
 
TISS lazima wapate brain concussion safari hii. Tutayanyonga2015
 
Wakumbuke kuwabebea wananchi wa morogoro zile Cd za matusi ya Lusinde Arumeru ili wananchi waone jins mbunge wao asivyo na adabu na ujinga wake
 
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuanza ziara ya kuimarisha chama katika mikoa mitano. nayo ni dodoma,singida,manyara,iringa na morogoro.


source: clouds tv

Wakitoka huko waende na Tanga, Bagamoyo, na ikiwezekana Zanzibar...
 
Mwigulu atakufa kwa BP kabla ya 2015 kwa sasa yupo ICU.
 
Wakumbuke kuwabebea wananchi wa morogoro zile Cd za matusi ya Lusinde Arumeru ili wananchi waone jins mbunge wao asivyo na adabu na ujinga wake
nitawakumbusha kamanda lakini ni dodoma na si mororgoro.
 
Kufanya BIASHARA ikulu ni chukizo kubwa kwa taifa!!

Hivi sasa ni aibu jinsi gani Rais wa nchi yetu anaitwa kama mtoto mdogo kwenda kujibu tuhuma kwa wakubwa kule Uingereza.

Bahati zuri ni kwamba tayari 'JF Habari Moto moto' ilishatangulia kote kule na taarifa tutazipata mapema tu.
 
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuanza ziara ya kuimarisha chama katika mikoa mitano. Nayo ni dodoma,singida,manyara,iringa na morogoro.


Source: Clouds tv

karibuni makamanda msisahau kufika iramba magharibi yote. Semeni tuwape kabisa na majina ya vijiji vya kusimika ngome
 
Wakitoka hiyo mikoa waende mikoa ya Ruvuma,Tanga,Tabora na Pwani ili kupeleka elimu ya uraia kwa wananchi wa maeneo hayo.Safi sana CHADEMA nyie ndo chama pekee nchi hii mnaofanya siasa wengine wote wamekalia majungu hasa Chama cha Mauaji na wake zao CCM B.
 
Back
Top Bottom