Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,062
wengine mnawakanyaga!.
Heri mimi sijasema!
wengine mnawakanyaga!.
Heri mimi sijasema!
Mkuu Yegella, hata kama ni kweli, au si kweli, comment hii ni kinyume cha utu wa mtu, huu ni unyanyapaa ambao ni kosa against morality!. VVU ni janga la kitaifa, kuna wengi ama tunaishi na vvu ama wanaishi na vvu, kitendo cha kuandika tumdharau fulani kwa sababu ni muathirika wa vvu, ni kuwadhalilisha waathirika wote wa vvu!, tena usikute unaandika haya huku hujapima!.
Pamoja na utani na mizaha yote tunayotoleana humu jukwaani, tusivuke mipaka ya utu na ubinaadamu!.
This comment is not fair!.
Pasco.
Kujilipua kwa Chris Lukosi kunakugusa vipi negatively katika maisha yako. Kama ni siasa, pambana naye kwa hoja na siyo kumuua kimaisha. Hivi unafahamu ni Watanzania wangapi wametumia fake documents zilizokuwa zinapatikana mitaa ya Mkwepu, Makunganya, posta club n.k kusafiria ili kutafuta maisha yao au kwenda kupata elimu ya juu nje ya nchi.Unataka kusema Lukosi alijilipua kama Mkongo, Msudan, au Mnyarwnda? Kuna haja ya kufuatilia taarifa zake hapa London ili Home affairs waweze kujua kuwa jamaa huyu ni mtanzania na si mkimbizi aliyetoka katika nchi ya vita ili asiendelee kupewa status ya ukimbizi wa uongo na kula pesa za walipa kodi wa Kiingreza.
Sijamsikia Anne Kilango akitoa povu katika hili na baadae kuishia kusema kuwa hii ni serikali sikivu na mawaziri hawa wasamehewe wamesikiawapigwe tu......
wasifu wa lukosi 1.huyu jamaa alikuwa polisi akafukuzwa sababu ya ajali katika msafara wa pm wakati ule john malecela na kukimbilia botwana kwa dada yake ambaye ni nurse.2 2.lukosi alifuatana na dadake nchini uk baada ya kupata kazi uk nayeye alipata nafasi ya kuambatana naye uk. 3.lukosi alipata nafasi ya kujifanya mkimbizi na kuukana utanzania pamoja na porojo zake yeye uk anafahamika kama mkimbizi wa kisiasa na njaa. 4. Lukosi alipata kazi ya kuwa traffic warden kwa bahati mbaya alipata ajali ambayo ilimfanya adhurike kichwani alilazwa kwa muda mrefu na aliathirika na ajali ile kichwani.kampuni aliyokuwa akiifanyia kazi ilimlipa malipo kutokana na ajali hiyo,na baada ya muda aliacha kazi na kuanza biashara. 5 lukosi alianza biashara za kupeleka magari mabovu tanzania na baiskeri za wizi kutokea maeneo ya barking&dagenham na baada ya muda alianza biashara nyingine ambazo wengi wanazijua. 6 lukosi alijaribu kujiingiza kwenye siasa baada ya kukutana na mbunge lema jijini london,na nia kubwa akifikiri atapata tender za kusafirisha mizigo na magari ya chadema.alipewa nafasi kukaa hotelini kwa mzee ndesambulo jijini dar kwa week moja free of charge. 7 baada ya kukosa tender hiyo lukosi alirudi ccm ambapo hajawahi kuwa mwanachama uk,na alianza kashfa nyingi kuhusu chadema na hii ni kutokana na waajiri wake wa biashara (sizisemi) kutoka tanzania ambao ni wafadhiliwa na ccm kutokana biashara hizo.ametumia muda mwingi mtandaoni ili wamkubali kuwa katoka chadema na anaichafua. 8. Tumdharau lukosi kwa sababu ana ugonjwa wa pressure na inasemekana ni muathirika wa vvu si mwana siasa ila ni stress zinamsumbua..
Hivi ni kweli bei ya mbege imeshuka kwa asilimia 75?
Naona 2015 inasogea kwa kasi ya ajabu, hatudanganyiki na kubweka kwenu kwa muda mfupi.
endeleeni kushabikia serikali yenu ya ccm sikivu.!
Ukweli ni kuwa hizi operesheni zimegusa maslahi ya wakubwa; namely Katibu mkuu Kinana, Lukuvi, nk.
Tulisikia taarifa wabunge hapo kusini wanahusika na ujangili. Then tunajua Kinana ndiye kinara wa ujangili Tz, alafu tukasikia msaidizi wa Lukuvi kahusika. Tungetarajia nini katika hili.
Najua hili la operesheni kimbunga limeingizwa tu kutupoteza maboya but ukweli ni kwamba kinacholengwa hapa ni kuondoa hii operesheni ya kupinga ujangili.
Makinda amekubali hili suala lijadiliwe na kamati iundwe kwa sababu mbunge mwenzake wa Iringa, Lukuvi ameguswa. Najua hata kamati itakayoundwa itakuwa imeshaandaliwa tayari na taarifa yao wataandikiwa...
ila jamani km umemsikia mbunge (ccm)
kangi lugola akiongea basi sidhani km unaweza kuishabikia ccm.
inauma sn jamani.
eti askari wamepiga risasi na kuuwa ng'ombe 60za mzee m1 wa miaka zaidi ya 60.
hiv huyu mtu amekua maskini ghafla ataisjije?!!
cku zinakuja .....
Hivi ni kweli bei ya mbege imeshuka kwa asilimia 75?
kosa kubwa ni kuingiza majeshi mengine katika mambo ambayo hawakusomea.
Polisi pamoja na udhaifu wao lakini angalau wana uelewa kiasi wa sheria lakini jwtz wapi na wapi.
Hili ndilo kosa ambalo hata mtwara limefanyika na madhara yake karibuni yatakuwa wazi.
Vipi unataka kutumia pesa ya rambirambi ya mjane wa Mwangosi kununua mbege?Hivi ni kweli bei ya mbege imeshuka kwa asilimia 75?
Mimi nimeshangaa sana mkuu manning. Yaani nimewangalia jana wakati wanajadili..hakuna hata .mbue mmoja aliyejaribu kuonyesha ubaya wa ujangili na hali ilivyokuwa mbaya sasa hivi....wala kuonyesha kwamba ni kwa nini hii operation ni muhimu.
Mi nadhani kwenye.operation kama hii haiwezi kukosa majeruhia kuisitisha pamoja na kiwalaumu watekelezaji kwa maaana ya JWTZ Polisi na askari wa wanyamapori ni kuwaondolea morale kabisa
Wabunge.wameshindwa kuona ni kwa nini ujangili uliokithiri utaathiri sana utalii.ambao unachangia kwa kiasi kikubwa pato la taifa.
Suala la ujangili limeshakuwa systemic...wamekamatwa watu hapa lakini unasikia wanaachiwa au watu wanalobby waachiwe..huo.ni.udhaifu wa utekelezaji wa sheria na ingepaswa wahusika wote waadhibiwe vikali....
Suala la mifugo kuingi hifadhini ni kinyume cha sheria ya wanyamapori ..so ikikamatwa ndani inabidi mwenye nayo alipe faini nk...kuwaachia namna hii inaset precedent kwamba unaweza tu ukaswaga mifugo yako hifadhini kisha ikaachiwa kiroho safey. Kila siku watu wanahubiriwa wapunguze idadi ya mifugo lakini wapi....matokeo yake ndo kama hivi.
Kikubwa ninachoona hapa ni uchaguzi unakaribia na kura za wafugaji.ni muhimu sana...
Mkuu hapa umenena kinachokera huyu jamaa mara nyingi amekuwa mharibifu wa mtiriko wa mada Jf hebu angalia hiyo comment yake ktk uzi huu ,Je utamuelewaje?Acha alipate fresh uyo jamaa acha amtwange na CV lake hilo bovu.Hata mimi ningekuwa naujua huu wasifu wake ningetupiamo.He deserve what he reserve.Unajua bwana pasco wakati mwingine huyu lukosi anakera sana anataka kuhamisha mwelekeo wa kinachojadiliwa kwa kuleta utani kwenye suala nyeti, kilichofanywa na yegella ni kataka kulionyesha jukwaa mtu anayetaka kupindisha mjadala ni mtu wa aina gani. Kwa hiyo huyu lukosi sio kila hoja uchangie wakati mwingine ni vema kuwa msomaji kama huna cha kuchangia badala ya kuchangia ujjnga na kuamshi hasira kwa wengine