Operesheni Delete CCM ndani ya Ludewa

Operesheni Delete CCM ndani ya Ludewa

Angalia vizuri kwenye huo mlingoti.Bendera ya CHADEMA iko juu ya CUF iko chini WHY NOT VICE VERSA?
Hiyo bendera wanatembea nayo kuzuga kuwa mikutano yao imeitishwa na UKAWA halafu waanza kujinadi kama CHADEMA kilichopewa eneo hilo na UKAWA.

Tafsiri za mataahira ya Lumumba hizi, Bendera kuwa chini nyingine kuwa juu tayari zishakufanya nawe ujengee hoja.!!!! Mkiambiwa miccm hamna hoja mnapanic utafikiri mmemwagiwa pilipili machoni.!!!!

Hivi kwa harakaharaka kati ya hizo bendera mbili inayoonekana kwa haraka na kwa urahisi ni bendera ipi??

Hivi mbona nyie mijamaa mnakuwa mijinga kiasi hiki? Manalishwa nini na ccm. nyie vilaza..

BACK TANGANYIKA
 
Kwa ccm huuni mwaka wa shetani!

Acha CCM iendelee kutunga liwaya za kukichonganisha CHADEMA na vyama shiriki vya ukawa. UKAWA inapiga kazi kila sehemu. CCM mwisho wao umetimia hawana jinsi kama mpaka katibu wao mkuu analalamika kukosa watu pamoja na kusombwa na malori lakini kuna malori yanayorudi yakiwa tupu. CHEZEA UKAWA WEWE .
 
attachment.php



attachment.php



attachment.php


Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbroad Slaa akihutubia maelfu ya wananchi wa Kijiji cha Ludewa, wilayani Kilosa, mkoani Morogoro katika mkutano wa Operesheni Delete CCM, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ludewa.
Ni RUDEWA Kilosa na si LUDEWA,sahihisha tafadhali
 
Our excelent, president dr.slaaa wa ukweli. Mungu akulinde na akupe afya ya kutosha na hekima zote kuliongoza taifa letu
 
Yale mawazo mgando kwamba ccm itatawala milele, yanakaribia kudhibitishwa kuwa ni uongo. Ila kuna jamaa aliniambia, ccm itakufa kwenye mikono ya kikwete kwa sababu ya udhaifu wake. Sasa yanatimia
 
leo kijij cha berege wilaya ya mpwapwa ka delete kabisa ccm, wagogo hatuwaangushi tena wapambanaji
 
Delete ccm
delete ccm
delete ccm
delete ccm
delete ccm
delete ccm
delete ccm
delete ccm
 
Angalia vizuri kwenye huo mlingoti.Bendera ya CHADEMA iko juu ya CUF iko chini WHY NOT VICE VERSA?
Hiyo bendera wanatembea nayo kuzuga kuwa mikutano yao imeitishwa na UKAWA halafu waanza kujinadi kama CHADEMA kilichopewa eneo hilo na UKAWA.

Utataga mwaka huu,hapana chezea cdm weye! Yupo wapi wasira na ramli zake? Teh teh teh teh teh
 
ningefurahi kama woote waliohudhuria mkutano huo wangekua wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura
 
ningefurahi kama woote waliohudhuria mkutano huo wangekua wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura

mwaka huu vijana wengi sana wemejiabdikisha mpaka CCM wamepata hofu na nafikiri watafanya hujuma tu ili wasipige kura
 
Safisha safisha naomba juhudi ziongezeke kampeni nchi nzima hasa vijijini ambako ndio mtaji WA ccm ulipo kwenye maisha magumu watu wanaponunuliwa kwa madebe ya pombe za kienyeji Na kofia Na kanga. Hiki cha a cha ccm kitaalaniwa wallah tena
 
leo kijij cha berege wilaya ya mpwapwa ka delete kabisa ccm, wagogo hatuwaangushi tena wapambanaji

Safi Sana tunaomba Na mikoa ya kusini huko waelewe wameishi kwa miaka zaidi ya hamsini kwenye umasikini wa kutupwa huku wakiwachagua maccm kila mwaka Na hakuna walichokipata zaidi ya ufukara. Ni wakati WA kusema NO.
 
Back
Top Bottom