New Rider
Senior Member
- Jun 29, 2021
- 131
- 269
Habari wakuu, Mimi ni operator wa mitambo ya kutengeneza barabara , nimesomea chuo cha mitambo cha Veta Shinyanga , Nina cheti na leseni pia.
Ni operator wa mitambo ya Motor Grader, Hydraulic Excavator na wheel loader. Fresh from college.
Kama mnavyojua siku hizi bila connection kupata ajira/ kibarua inakuwa ngumu sana. Baada ya kumaliza chuo nimezunguka kwenye makampuni mbalimbali ya kutengeneza barabara civil construction companies lakini inabaki kuwa ahadi tu, utaacha copies za vyeti, cv's nk lakini kuitwa ni majaliwa.
Nimepita pia kwenye miradi mbalimbali ya ujenzi inayohusisha mitambo hiyo.
Naomba mwenye connection au njia yoyote ya kunifanikisha kwenye hitaji langu hili nitamshukuru sana. Naishi kurasini, Dar.Tusaidiane wandugu.
√niko tayari hata kujitolea kwa muda fulani wakiona nafaa basi watanichukua rasmini.
Shukrani sana!
Ni operator wa mitambo ya Motor Grader, Hydraulic Excavator na wheel loader. Fresh from college.
Kama mnavyojua siku hizi bila connection kupata ajira/ kibarua inakuwa ngumu sana. Baada ya kumaliza chuo nimezunguka kwenye makampuni mbalimbali ya kutengeneza barabara civil construction companies lakini inabaki kuwa ahadi tu, utaacha copies za vyeti, cv's nk lakini kuitwa ni majaliwa.
Nimepita pia kwenye miradi mbalimbali ya ujenzi inayohusisha mitambo hiyo.
Naomba mwenye connection au njia yoyote ya kunifanikisha kwenye hitaji langu hili nitamshukuru sana. Naishi kurasini, Dar.Tusaidiane wandugu.
√niko tayari hata kujitolea kwa muda fulani wakiona nafaa basi watanichukua rasmini.
Shukrani sana!