Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Kaka hiyo ndiyo nembo ya CDM?
Sio Darisalama, labda maeneno ya Ubungo na kuelekea Kibaha ! sitakubishia lakini mjini a BIG no!
yaani wewe naogopa ban tuu ningekupa jibu moja ungezimia. kinachokuuma nini? wewe kaoge ulale
katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa chadema imezindua operation nyingi sana, ikiwemo operation vua sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-walichemka kwa kuiga think tank ya ccm.
Wakaibuka na operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda watanzania wote sio wamasai.
Wakajisahau wakaenda arusha kuwadanganya waarusha na wachaga mpaka baadhi yao wakafa-ikakosa mashiko mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na chukua magwanda manne cm4 ( haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "ruzuku"-operation hii mpaka hapo kwa dar imeshindwa.
Kajipangeni tena.
"chadema kitakufa kabla ya 2015"-wasira.
Kama ID yako inavyojieleza, kweli wewe ni mtu wa chuki. Sasa hapa unatueleza kitu gani? Upumbavu wako ndio mwisho wa lichama lenu.Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.
Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.
Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.
Kaka hiyo ndiyo nembo ya CDM?
Ya CDM hiiView attachment 54669 Ya CCM hiiKaka hiyo ndiyo nembo ya CDM?
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.
Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.
Ya CDM hiiView attachment 54669 Ya CCM hiiView attachment 54670
Au mkuu umesahau kale kawimbo kenu maarufu huwa mnaimba CCM nambari ngapi vile?
He he he umefikiri sana mkuu Chuki...pongezi, sijaona umuhimu wa maandamo yao-Besigye alikua anaandamana kupinga ongezeko la bei ya vyakula, Kule Senegal waliandamana kupinga Wade kuingia kwenye uchaguzi, Zim, Kenya watu waliandamana kutokana na wizi wa kura wazi wazi etc je Hawa CDM wanachukua scenario za wenzao wanaziingiza hapa...Tz bado hatujachoka kiasi hiko cha kuandamana kudai hiki au kile..muda ukifika people's power hailazimishwi wala haiitaji viongozi wa kisiasa (kama kule Misri, libya N'k) tukichoka tutaandamana tu hizi siasa siasa hizi hazina tija kabisa eti m4C..CCM inatufanya wajinga na hawa CDM sasa wanatufanya wajinga, kupenda kwao vyeo bila sababu wanataka kucreate katention fulani hivi ionekane wanapigania kitu muhimu cha kitaifa, kumbe hamna.