Operation za chadema hazina mashiko

Operation za chadema hazina mashiko

chuki

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2011
Posts
2,715
Reaction score
534
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.

Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.

Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.

Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).

Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.

Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.

Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.

Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.
 
yaani wewe naogopa ban tuu ningekupa jibu moja ungezimia. kinachokuuma nini? wewe kaoge ulale
 
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu,wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.

Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.

Mbona mna-tapa-tapa:A S cry:?!
Kama operations za CDM hazina mashiko, mbona Chupi zinawabana sasa na pressure zinapanda na kushuka?!! MImi nadhani operations hizo zina mashiko, ndo maana wachumia tumbo kama wewe mkapata Ajira (kutoka kwa Nape) ya kutupia post/thread za namna hii hapa JF.

Tulia ndugu yangu unyolewe, wembe utakukata!
 
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu,wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.
Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.
Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.
Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).
Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.
Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.
Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.

Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.

..............................
download.jpg
 
Najua tu we upo Ulaya ngoja ukiona picha jioni hii...najua utatuachia vumbi tu hapa!!
 
chuki=kijiba=ushakunaku=umbeya=presha=ujinga=use..e=ushamba=uchawi=uoga=ccm.
 
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.

Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.

Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.

Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).

Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.

Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.

Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.

Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.

Kuna vitu umesahau ama kwa makusudi au kwa uelewa mdogo. Kanda ya Ziwa ni moja ya ngome kubwa ya CHADEMA na huwezi kuongelea mafanikio au uwepo wa ngome hiyo bila kutaja operation 'sangara'.

Pili, hoja za wachaga, mara watu wa Arusha au watu wa kaskazini sasa zinapanguliwa kwa vitendo. CCM kama kawaida walidhani CHADEMA hawatipiga kambi Dar, sasa wamekuja na leo watawaagesha CCM na maji baridi pale jangwani.
 
hata kama hazina mashiko wewe inakuuma nini....!!!!! tulia ndugu yangu acha kurukaruka.
 
hata kama hazina mashiko wewe inakuuma nini....!!!!! tulia ndugu yangu acha kurukaruka.
 
Mbona mna-tapa-tapa:A S cry:?!
Kama operations za CDM hazina mashiko, mbona Chupi zinawabana sasa na pressure zinapanda na kushuka?!! MImi nadhani operations hizo zina mashiko, ndo maana wachumia tumbo kama wewe mkapata Ajira (kutoka kwa Nape) ya kutupia post/thread za namna hii hapa JF.

Tulia ndugu yangu unyolewe, wembe utakukata!
Haswaaa! Maana kusuka kumewashinda!
 
Katika kuchambua mambo, imegundulika kuwa Chadema imezindua Operation Nyingi sana, ikiwemo operation vua Sangara ambayo bila kufikiri kuwa eneo kama kanda ya kati kwa Wanyaturu, wanyiramba na wagogo sangara ni Msamiati wanousikia na wachache waliowahi kula au kuona, operation hii ikafa kabisa na haitojirudia-WALICHEMKA kwa kuiga THINK TANK YA CCM.

Wakaibuka na Operation ya maandamano(naiita hivyo kwakuwa baadhi ya maandamano hayajulikani sababu mpaka leo) hapo tukashuhudia Viongozi wakiwaonya kuepuka kupoteza muda Watanzania wote sio WAMASAI.

Wakajisahau wakaenda ARUSHA kuwadanganya WAARUSHA na WACHAGA mpaka baadhi yao wakafa-Ikakosa MASHIKO mpaka leo hawatorudia.

Wameibuka na CHUKUA MAGWANDA MANNE CM4 ( Haijulikani maana yake nini maana imekaa kimafumbo mafumbo kama kichaga kilivyokigumu kuuandikwa).

Tena safari hii wako Dar (leo) wananchi wanawaona kama wafa maji wanaotaka kujinasua, falsafa yao ya nguvu ya umma inazidi kufifia kama jua la jioni, aibu na kujisifu kote.

Inasemekana leo watakaohudhuria ni vikundi vya vyama vya wanaotoka kanda ya kule ili kuepusha aibu tena wamehimizwa kufunga biashara zao.

Dar watu wako bize, wanatafuta riziki zao za kila siku, hawawezi kupoteza muda wao kusikiliza watu wanaofanya wenzao "RUZUKU"-OPERATION HII MPAKA HAPO KWA DAR IMESHINDWA.

Kajipangeni tena.
"Chadema kitakufa kabla ya 2015"-Wasira.

Madhara yake yalionekana kwa watu wengi kujiunga na CDM na kuongeza idadi kubwa ya wabunge wa CDM 2010

Leo hii hakuna kitu kinaitwa CCM katika kanda ya Kaskazini na ushindi wa Arumeru mashariki ulitokana na hii ya Arusha

Hii ilikamilisha mazishi ya CCM Arusha, iliongeza ushindi wa CDM Arumeru Mashariki na kuhamisha wanachama kutoka CCM walioichoka CCM huko Mwanza na kaskazini

Dar tupo busy SAWA lakini tutahudhuria kwa wingi ili kuiua CCM hapa mjini, matokeo yake yataonekana mwaka 2015, CCM itakapozikwa rasmi katika jiji hili


 

Dar tupo busy SAWA lakini tutahudhuria kwa wingi ili kuiua CCM hapa mjini, matokeo yake yataonekana mwaka 2015, CCM itakapozikwa rasmi katika jiji hili



Sio Darisalama, labda maeneno ya Ubungo na kuelekea Kibaha ! sitakubishia lakini mjini a BIG no!
 
Back
Top Bottom