Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
Magaidi wengi waliamua kujiunga na cuf
Macuf yamefurahi sn magaidi kuwa upande wao......
Magaidi wengi waliamua kujiunga na cuf
daah? yaani ulicho bandika ni sawa kuwa una tumbo la uharo lakini unafanya zoezi la kujamba! Hee? Ona sasa unalivyochafua hewa!Operation ya mchakamchaka hadi 2015 imeshika kasi na jana prof lipumba alifanya mkutano mkubwa pale zanziba na baadae itaendelea bara baada ya kusimama kule mtwara baada ya vurugu kubwa kutokea katika kuhamasisha wananchi kudai haki zao operation hii ni kiboko imeipiga bao m4c