Operation mchakamchaka yaipiga bao M4C

Operation mchakamchaka yaipiga bao M4C

Status
Not open for further replies.
Operation ya mchakamchaka hadi 2015 imeshika kasi na jana prof lipumba alifanya mkutano mkubwa pale zanziba na baadae itaendelea bara baada ya kusimama kule mtwara baada ya vurugu kubwa kutokea katika kuhamasisha wananchi kudai haki zao operation hii ni kiboko imeipiga bao m4c
daah? yaani ulicho bandika ni sawa kuwa una tumbo la uharo lakini unafanya zoezi la kujamba! Hee? Ona sasa unalivyochafua hewa!
 
Kufichuliwa kwa Mikataba ya Kishoga na mikakati ya kidini ya CUF kumeharibu kabisa taswira nzima ya kisiasa ya CUF kwa kipindi kifupi sana.
Huku mtaani watu wanasema ''CUF sio ridhiki tena''
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom