Nashangaa Liberal Party wanapambana na CHADEMA badala ya CCM.Anyways they must be aiming too high!
Mkuu usishangae kwani mke hapambani na mumewe ila hupambana na anayepambana na mumewe...
Nashangaa Liberal Party wanapambana na CHADEMA badala ya CCM.Anyways they must be aiming too high!
haaa mkuu mpaka magaidi, mi nilidhani ni uliberali tu!Magaidi wengi waliamua kujiunga na cuf
haaa mkuu mpaka magaidi, mi nilidhani ni uliberali tu!
Operation ya mchakamchaka hadi 2015 imeshika kasi na jana prof lipumba alifanya mkutano mkubwa pale zanziba na baadae itaendelea bara baada ya kusimama kule mtwara baada ya vurugu kubwa kutokea katika kuhamasisha wananchi kudai haki zao operation hii ni kiboko imeipiga bao m4c
Nikikuwa namuaminia sana Prof. Lipumba!!! Lakini baada ya kusikia kauli zake za udini sasa sina imani naye tena!
dogo ile kitu bado unayo panya na mende hapa home wanasumbua
Chama cha wananchi hakiiiiiiiiiii
uchagani na kanda ya kaskazini sindo chama cha kikandazanzbar,mtwara,lindi na tanga kidoooogo!!!
Hamna zaid ya hapo!
Sent from my blackberry 9780 using jamiiforums
Zanzbar,mtwara,lindi na tanga kidoooogo!!!
Hamna zaid ya hapo!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
M4c iz dead
i mean machadema
operation ya mchakamchaka hadi 2015 imeshika kasi na jana prof lipumba alifanya mkutano mkubwa pale zanziba na baadae itaendelea bara baada ya kusimama kule mtwara baada ya vurugu kubwa kutokea katika kuhamasisha wananchi kudai haki zao operation hii ni kiboko imeipiga bao m4c