Operation kula Mbaazi

Operation kula Mbaazi

Mbaazi hazina ladha. Ndio maana hazina soko hapa bongo. Suluhisho ni kama kunamatumizi ziadi ya kula kama mboga. Kama inawezekana kiextract hivyo virutubisho au kitengeneza pombe soko litakiwepo tu.

Njia nyingine hii serikali ni ya kilazimisha mambo kwa kauri. Waseme shule zote za secondary wale mbaazi atleast siku tatu kwa week.

Zikipikwa vizuri ni tamu sana, tena unaweza ukatamani ule kila Siku hasa Kwa wali wa nazi! Kuna namna ya kuzipika ili ziwe Kwenye radha Yake ya asili, tena zikichemshwa Kwa Maji kidogo kidogo na chumvi kiasi na kukatia kitunguu na nyanya kipande nusu Kwa mbali yani Hata usipoweka mafuta ya kupikia wala chochote Kwa wali ni tamu sipati kukwambia!
 
Kahamasishe ziliwe pale karibu na feri.
Itawasaidia kutengeneza dawa ya mbu natural.
 
Zikipikwa vizuri ni tamu sana, tena unaweza ukatamani ule kila Siku hasa Kwa wali wa nazi! Kuna namna ya kuzipika ili ziwe Kwenye radha Yake ya asili, tena zikichemshwa Kwa Maji kidogo kidogo na chumvi kiasi na kukatia kitunguu na nyanya kipande nusu Kwa mbali yani Hata usipoweka mafuta ya kupikia wala chochote Kwa wali ni tamu sipati kukwambia!
Ntanunua nijaribu kwa maelekezo haya. kila siku sokoni huwa naona vitu visivyo faaaa
 
Back
Top Bottom